Tofauti kati ya Ndege ya Bombardier na Boeing kwa safari za ndani (Local Routes)

kababu

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
1,699
804
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
 
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
Me umeniacha hapo kwenye miles na kilometa
 
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
Usalama! mi ndilo la msingi haya mengine baadae
 
Kama hiyo dear yenu ingetumia gallon 1 ya mafuta matajiri wasingesumbuka kununua mabasi; maana unavyoipamba ni kama haina utofauti saana na kiasi cha mafuta kinachotumiwa Landcruiser!! ngoja zianze kazi ndo utakuja kuona kitakachozaliwa kama siyo kulaumiana na kulusha makombora kwa mtengenezaji; ila msijeleta visingizio vipya maana huwa hamkosi pa kujibanzia.
 
Bombardier inatumia gallons 1.187 ya mafuta kwa mile moja msidanganye watu.

sure mkuu, ni kama Yutong au Scania akseh, ajabu hii, Dah inafaa ata kupigia kama Aboud au hata Kimbinyiko za Dom pia Moro to Dar routes. Uhu ni uongo ulotukuka special kwa mambulula yanayopiga miayo pale Lumumba
 
Hivi kati ya MV Dar Es Salaam (Meli Chakavu) na Bombardier Q400 (Bajaj), kipi bora?

umenichekesha mkuu,

Mhe JPM alisema mtu kama wewe atakulipia nauli katika bomberdear na ukae pale mbele karibu kabisa na kioo ili uone jinsi inavyokata mawingu hasa yakipiga katika kioo cha mbele, ah ah acha kuiita bajaj
 
Kama hujui mambo kuhusu utumiaji wa Mafuta ya ndege bora ukae kimya usubili matokeo ya kitakacho tokea kipindi zitakapo anza kazi.
 
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
Hii habari umekopi kwenye gazeti la Raia Mwema na ukaikopi nusu bila kuonyesha hivyo kwa wasomaji. Na Raia Mwema walikopi kutoka kwenye page ya Facebook ya jamaa mmoja anajiita Innocent Mungi na walikiri hivyo. Huyo Mungi hajaandika ukweli kwa sababu maelezo aliyotoa sio ya kitaalam bali ni ya watu wa kijiweni. Kwa wale watu wenye abc za ndege watakubaliana na mimi kuwa ulaji wa mafuta wa ndege ni kitu kinachotegemea attributes nyingi sana, hivyo ni vigumu kutoa jibu la moja kwa moja kama alivyodanganya huyu bwana Mungi. Kuna factors nyingi, nyingine kubwa na nyingine ndogo kabisa.... ndio zina-determine matumizi ya ndege. Ni sahihi kabisa kusema ndege kama Boeing 737 inaweza kutoka point A mpaka B penye umbali wa maili kama 1000 na ikatumia mafuta ya eg dola 5000 na ndege nyingine ikasafiri umbali C mpaka D penye umbali sawa kabisa na ule wa A na B ie maili 1000, na ikatumia mafuta yenye gharama karibu mara mbili eg dola 8000.
 
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
Angalia na idadi ya abiria hizo ndege zinachukua,ndiyo utajua ipi ni bora.
 
The Bombardier Q400 is one of the more fuel efficient regional commercial aircraft flying today. Bombardier Q400 Fuel Burn is around 712 US Gallons or 4,768 pounds (2,163 Kilograms) when flying 600 nautical miles at 18,000 feet (Flight Level / FL180) at "high speed" intermediate speed cruise (ISC) This equates to 1.187 gallons per mile or 0.843 nautical miles per gallon. When flying this same trip at a "fuel saving" option achieving maximum cruise range speed (MRC) that yields a slower block time of 157.3 minutes, the Q400 fuel consumption is around 664 US Gallons or 4,447 Pounds (2,017 Kilograms). This yields a Q400 fuel burn of 1.107 gallons per nautical mile or 0.904 nautical miles per gallon. By taking these two fuel burn numbers you get an approximate range of 1.107 to 1.187 gallons per nautical mile fuel consumption.
 
Kama kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza ni Km 1,100 maana yake Bombardier itatumia saa moja na dakika arobaini (1 hr and 40mnts) wakati Boeing itatumia saa moja na dakika kumi na tano (1hr and 15 mnts) tofauti ni dakika 25 tu.

Boeing inatumia dumu moja la mafuta la lita 4 kwa sekunde moja kwa hiyo kwa saa moja inatumia lita elfu kumi na nne mia nne (14,400) (4l×60s×60m)

Kwa mfano, mafuta ya ndege kwa lita yakiuzwa shilingi 2,000 maana yake ili tutie mafuta ya kuelekea safari ya Songea inayochukua takriban saa moja tu tunahitaji milioni 28,800,000 (14,400×2000). Na tunahitaji abiria 96 watakaolipa Tsh 300,000 ili kuweza kulipia gharama za mafuta tu.

Hapo hatujajumlisha gharama za ‘service’ na wafanyakazi na wala hatujapata faida yoyote.

Bombardier inatumia lita 1.187 ya madumu ya mafuta kwa mile moja yaani ukikadiria inatumia lita moja ya mafuta kwa mile moja (1mile=1.6kms)

Umbali wa Songea hadi Dares Salaam (Air Distance) ni takribani kilometa 537 sawa na miles 335.625.

Kwa hiyo itatumia lita 398.386875 ambazo ukizizidisha kwa gharama ya Tsh 2,000 kwa lita unapata laki saba tisini na sita elfu mia saba sabini na tatu (796,773). Swali la kiuchumi, jambo gani muhimu kati ya kugharimika 28,800,000 na kugharimika 797,000?

Kwa mtu yeyote mwenye mawazo tulivu na mwenye kutaka shirika hili kujiendesha kwa kibiashara ni lazima atumie Bombardier ili apate faida.
Kwaio izi ndege za bombardier zinakunywa mafuta almost sawa au inazid kidogo basi la yutong au marcopolo linaloenda songea sio.
huo ni uongo mtakatifu
 
Back
Top Bottom