kuahirisha, maana yake, hakifanyiki kama ilivyopangwa, badala yake kitafanyika wakati/siku nyingine.
kufunga kikao, maana yake kuhitimisha baada ya kumaliza.
kilianza kwa kufunguliwa ili kuruhusu utaratibu wa mijadala rasmi, sasa mijadala imefikishwa mwisho na mwenye dhamana.
Kuahirisha kikao ina maana kuna
Maazimio au muafaka haujafikiwa au kufanikiwa hivyo mpaka kiitishwe tena wajadili
Kufunga kikao ina maana muafaka
Na maazimio yamefikiwa hivyo
Kinachobaki ni utekelezaji tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.