Chereko Chereko
Member
- Dec 4, 2011
- 54
- 6
Ukiwafanyia tathmini ya haraka haraka, utagundua kwamba kila mmoja ana mapungufu yake!
Hata hivyo kwa uchache ni kuwa: JK ni mzito wa kuamua, mzito wa kutekeleza na mwepesi wa kusahau!
PM Pinda yeye ni mzuri katika kurudia rudia maamuzi yaliyotolewa JK na hivyo kumfanya awe kigeugeu kwa maamuzi yake mwenyewe, pia huonyesha tabasamu nyembamba pale anapotambulishwa na JK kama 'mtoto wa mkulima'!!
LOWASSA yeye ni mwepesi wa kuamua, na pia ni mwepesi wa kutekeleza maamuzi yake na maamuzi ya wakuu wake wa kazi. Fuatilia alipokuwa waziri chini ya Rais Mkapa, na baadaye akiwa waziri mkuu chini ya JK!!
Hata hivyo kwa uchache ni kuwa: JK ni mzito wa kuamua, mzito wa kutekeleza na mwepesi wa kusahau!
PM Pinda yeye ni mzuri katika kurudia rudia maamuzi yaliyotolewa JK na hivyo kumfanya awe kigeugeu kwa maamuzi yake mwenyewe, pia huonyesha tabasamu nyembamba pale anapotambulishwa na JK kama 'mtoto wa mkulima'!!
LOWASSA yeye ni mwepesi wa kuamua, na pia ni mwepesi wa kutekeleza maamuzi yake na maamuzi ya wakuu wake wa kazi. Fuatilia alipokuwa waziri chini ya Rais Mkapa, na baadaye akiwa waziri mkuu chini ya JK!!