Hahahah!! Inapendeza.....
Katika kitabu fulani cha Chinua Achebe msichana alimwambia kijana:
"I have not seen
my days".
Yule kijana akamjibu "go and look for them"!!!
namkumbuka mwali wangu wa biology pale wu jam, alisema, mwanamke si mtu wa kucheka nae, atakupita kwenye maendeleo, yeye ataolewa na kupewa magari n.k, na wewe utaolewa? tangia siku hiyo uwa nawaangalia tu na kuwagonga basi.