kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Tuna weza kuwa tunalalamika kwa upuuzi mkubwa ambao umekuwa sasa ni kero kubwa sana kwa watazamaji.
Na hasa ikitambulika kwamba kodi zetu ndizo kwa namna moja au nyingine zinaendesha TBC.
1- Je unafikiri ni nini hasa TBC wanashidwa kwenda na wakati uliopo.
2 - je viongozi waliopo TBC, uwezo wao umepitwa na wakati uliopo.
3 - je serikali kuingiza itikadi za kichama ndio sababu ya kukosa viongozi macreative
4 - je unafikiri kunauwezokano wa hiki kituo kuwa chombo huru kisicho ruhusu mikono ya serikali.
Naomba tutoe maoni ili waweze kuyachukua na kuyafanyia kazi. Kero zilizopo TBC zaweza kusababisha mtu kufa kwa kupata heart attack. Tuwasaidie watupunguzie maudhi.
Chombo cha Taifa aibu tupu.
Na hasa ikitambulika kwamba kodi zetu ndizo kwa namna moja au nyingine zinaendesha TBC.
1- Je unafikiri ni nini hasa TBC wanashidwa kwenda na wakati uliopo.
2 - je viongozi waliopo TBC, uwezo wao umepitwa na wakati uliopo.
3 - je serikali kuingiza itikadi za kichama ndio sababu ya kukosa viongozi macreative
4 - je unafikiri kunauwezokano wa hiki kituo kuwa chombo huru kisicho ruhusu mikono ya serikali.
Naomba tutoe maoni ili waweze kuyachukua na kuyafanyia kazi. Kero zilizopo TBC zaweza kusababisha mtu kufa kwa kupata heart attack. Tuwasaidie watupunguzie maudhi.
Chombo cha Taifa aibu tupu.