mm huwa naumia sna na hii blue tick .Ni bora akusave poyoyo au bodaboda kuliko kuona kutuma sms unaona kabisa ina blue tick then yuko busy online hakujibu.
Yaani ni sawa na anakudharua tu.mm huwa naumia sna na hii blue tick .
Sasa hapo unaingilia jukumu ambalo siyo lako mkuu. Ni uchaguzi wa mtoa mada kutumia lugha anayoona inamfaa..Kwani mkiandika kiswahili mnakufa?
Kama wewe ulivyoingilia jukumu la kumjibia.Sasa hapo unaingilia jukumu ambalo siyo lako mkuu. Ni uchaguzi wa mtoa mada kutumia lugha anayoona inamfaa..
Ni jukumu la kila mtu katika jamii kumsahihisha mtu anapokengeuka..Kama wewe ulivyoingilia jukumu la kumjibia.
kabisa yaani ww ndo unambembeleza akujibu text , ukiona hivyo jua ww sio priority yake ana mtu mwingine .Yaani ni sawa na anakudharua tu.
Tatizo hapo ametumia maneno ya Kiingereza lakini lugha ya KiswahiliSasa hapo unaingilia jukumu ambalo siyo lako mkuu. Ni uchaguzi wa mtoa mada kutumia lugha anayoona inamfaa..
Hiki ni kimombo au kilengesa(kwa accent ya kimasai)Jukwaa la kimombo...
Hebu nisaidie basi. Mi nimesoma enzi shule za St.Mtakatifu Academy hazijazaliwaHiki ni kimombo au kilengesa(kwa accent ya kimasai)
Inauma sanakabisa yaani ww ndo unambembeleza akujibu text , ukiona hivyo jua ww sio priority yake ana mtu mwingine .
Rudi sayari uliyotoroka u don't belong to this planet
Alafu rudi kwenye karne uliyotoka
We sio wa sayari hii ya dunia tafadhali








Ndo maana sitaki kbs kujihusisha na masuala ya mapenzi
Kingereza hiki ni noma sana




matusi ya kinyumenyume haya
Mimi nimekuelewa na nina uhakika wabongo wote wamekuelewa, hapa mtu ambaye hatakuelewa ni mzungu tu.