To all good and hardworking men out there

To all good and hardworking men out there

Gorgeousmimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
9,296
Reaction score
7,688
Habari za saa hizi wapendwa wangu,

Leo marafiki ningependa tuongelee kuhusu insecurities za wanaume wetu wa kisasa.

Inawezekana wanawake sisi ndio chanzo cha wanaume wengi wasijiamini kwasababu walio wengi hawajafikia expectations zetu.Lakini wanaume mjiamini please dont let any woman put you down.If you are insecure na hujiamini hakuna mwanamke atakayekutaka.

Speaking from a woman´s perspective we women need men who provides security to us,who will guide us and protect us.We need men who will be there for us and stand out there for us.And when i say guidance,sio maguvu wala madharau na kejeli,"Mind your words they can make and break anything"

You might not have it now but if you stand to achieve your goals you will reach them.Its not about the money or other materialistic stuff its about you and how you place yourself out there.Hakuna mwanamke anayetaka mwanaume kigeugeu asojielewa.Kuwa na msimamo,jua nini unataka na pigania kukipata.Dont expect to grow roses while you are busy planting lillies.

Wanawake tuwe wavumilivu na wenye subira.Kama jamaa hajafikia standard guide him through it na najua wanaume zetu hawarekebishiki mpaka watake but usikate tamaa, ua lako kama unataka listawi lipalilie.Its your man walk with him through it. Only the strongest will survive.

At last if you are a good guy learn to appreciate,respect and cherish good people who are there for you.
Not all days are Rainy neither Sunny days.

Wasalaam, gorgeousmimi
 
Duh! hizi ndizo nyuzi ambazo ukianza kuisoma inakupa mushawasha wa kuendelea kuisoma hongera zako uelewa huu wangekuwa nao japo nusu ya huu basi dunia pangekuwa na amani ya mapenzi but wengi ni sukuma twende.
 
Story hii ni nzuri sana lakini kwa wanawake wa aina hiyo ni wawili katika mia, haswaaa katika huu ulimwengu wa kisasa. Dunia imebadilika sasa nadhani tunahitaji pia kubadilisha maono yetu katika mapenzi. Perfect Man DON'T CHEAT, DON'T SMOKE , NEVER EXIST. UNLESS U SHOULD MARRY YOUR BABA OR MAMA OR KAKA OR DADA.

Good thread but in wrong timings. Hii ingependeza enzi zile za kuchora kopa na kuandikiana barua. Sasa hivi ni noti kwanza ndo mengine yafuatie, hali ngume jameni.

Katika upande wetu wanaume kweli tunapopata hela huwa baadhi yetu tunabadilika na kuwasahau wake wetu. Ila wakuu impact ya hela katika jamii nyie acheni tuu, inakuwa inawasha anytime.

Best option nadhani gorgeousmimi angekumbusha tu akina dada kwamba hela hazivunwi kama embe, wengine waumie wewe ulambe kiulaini tuu, hapo lazima utabakia mtumwa tuu na furaha unayoitegemea huta ipata kamwe. Kuna movie moja inaitwa The confession of the marriage consultant (kama sijakosea tittle) inaelezea haya yote unayoeleza mleta mada, ila mwisho wake yule dada furaha aliyokuwa akiitegemea iliyeyuka na kuambulia HIV.
 
Last edited by a moderator:
Story hii ni nzuri sana lakini kwa wanawake wa aina hiyo ni wawili katika mia, haswaaa katika huu ulimwengu wa kisasa. Dunia imebadilika sasa nadhani tunahitaji pia kubadilisha maono yetu katika mapenzi. Perfect Man DON'T CHEAT, DON'T SMOKE , NEVER EXIST. UNLESS U SHOULD MARRY YOUR BABA OR MAMA OR KAKA OR DADA.

Good thread but in wrong timings. Hii ingependeza enzi zile za kuchora kopa na kuandikiana barua. Sasa hivi ni noti kwanza ndo mengine yafuatie, hali ngume jameni.

Katika upande wetu wanaume kweli tunapopata hela huwa baadhi yetu tunabadilika na kuwasahau wake wetu. Ila wakuu impact ya hela katika jamii nyie acheni tuu, inakuwa inawasha anytime.

Given up souls. . . . . . . .
 
Back
Top Bottom