hero7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 216
- 69
Habari!napenda wasilisha ecommerce nimefungua hivi karibuni ningependa pata ushauri kwasasa nafanya delivery door to door kwa dar es salaam but mkoani na delivery japo sio door to door na payment method tigopesa,na mpesa na bank transfer ningependa pata mawazo na ushauri toka kwenu baada ya kuipitia link hii Tnyary