Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
Niko hapa tmj toka saa tatu asubuhi(muda ambao nilipangiwa kufika) dokta ameingia saa tano na robo.! Yaani tumekaa mpaka tunasinzia. Hivi kwa nini umpangie mgonjwa kuja mapema wakati muda wa kuja dokta unajulikana. Maana tukiulizwa tunaambiwa zaa hizi dokta anakuaga hajafika. Yani inakera maana wengine wako hoi, Njaa zinawauma na ukijumlisha na maumivu ndio usiseme. Acheni hizo. Kuweni na mpangilio mzuri.