Titanic sunk by steering mistake, author says

Watu weupe walianza utundu wa kutengeneza vitu vizuri miaka mingi sana
 
Wakuu heshima yenu...
Leo kwa bahati nimepata nafasi ya kurudia kuangalia hii filamu ya hii meli kubwa iliyozama enzi hizo. Mara ya kwanza niliangalia nikiwa mdogo kiumri! Sasa leo katika kuangalia nimekuwa na maswali machache ambapo ningeomba kusaidiwa majibu yake kwa wenye ufahamu wake. Maswali yenyewe ni
1.Je ni kweli hii meli ilizama kiuhalisia au ni story tu?
2.Je! Kipindi hicho hakukuwa na mawasiliano ya kuja kuokolewa?
3.Je ile Iceberg ilitokea vp katikati ya bahari?
4.Kama ni kweli ilizama ilikuwa miaka gani na watu wangapi walipoyeza maisha ba wangapi waliokolewa!?
5.Je hiyo meli ilikuwa inatoka wapi na kwenda wapi?!

Natambua maswali mengine naweza google but nataka majibu ya hapa ili wafaidike wengi hivyo kama hauna majibu kuwa msomaji tu usilete kejeli hapa na kama kuna mwingine mwenye maswali aongeze hapa ili tupate majibu.

Natanguliza shukranu zangu za dhati.
 

ok,ilizama mwaka 1911, nailikuwa inatoka London(uk) to USA got me buddy!
 
Mkuu una maswali mazuri ambayo yote yanajibiwa na bwana google....usichoke muulize.
 
ok,ilizama mwaka 1911, nailikuwa inatoka London(uk) to USA got me buddy!

...ongezea
-Abiria 1500 walipoteza maisha.

-Yule bibi unayemuona mzeeee ambaye ndiye kama anahadithia, ni kweli alikuwepo na yeye ndo alitoa mwongozo mzima wa maisha yake (maisha aliyoigiza Leonard na Kate) ndio maisha halisi ya yule bibi tangu ndani ya meli mpaka kuokolewa.

-Mwishoni mwa movie hiyo kuna binti anaonekana anamuangalia bibi, yule binti ni mjukuu halisi wa yule bibi (bibi aliokolewa akiwa na mimba ya mama yake na huyu binti(mjukuu). ila mama wa binti huyu alifariki.

Hayo kwa uchache ninayoyafahamu.
 

Ilizinduliwa miaka miwili kabla ya MV Liemba!
 
Zamaulid

Sasa nakutuma.........muulize huyo gugo habari za ENOLA GAY........nataka nijue.........
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…