kila mtu anakuja na theory yake, hata mimi nikijipanga ntakuja na theory yangu na mtaamini
sijaelewa connection ya vatican, riches guy who later die in the tatanic and the likes of rockfeller and piers morgan! kwani hao kina rockfeller si wangewaua tu hao riches guy bila kuwahusisha vatican? ok kuanzisha hiyo bank kama hao matajiri hawataki so what si wangeanzisha tu kwan walikua na mamlaka gani ya kuwazuia? and lastly relationship ya vatican na kina rockfeller ni ipi ili washirikiane kuanzisha iyo bank? wao kama vatican wangefaidika na nini mbona haikuanzishwa uko vatican eventually?