Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Nani alikwambia moassad na CIA wanalinda marais.. na mabunduki..
Ninafuatilia sana utendaji wa kazi wa kikosi cha ulinzi wa viongozi wa taifa letu, hakika umeimarishwa. In terms of equipments yaani wana madude yanatisha!. Lile gari lenye maminara kibao linafanan na magari wanayotumia akina Trump na akina Puttin. Hakika sasa tunajivunia kuwa viongozi wetu wanalindwa. Hongera sana Kamishna mTISS Diwani hakika kazi yako imesimama. Sisi wananchi tunajivunia kuiona TISS iliyosimama haswa