mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Matrekta yapo mengi tu ndo maana hujakosa chakulaHizo hela bora wangenunulia matrekta na kuyasambaza vijijini yatumike kwenye kilimo.
Matrekta yapo mengi tu ndo maana hujakosa chakulaHizo hela bora wangenunulia matrekta na kuyasambaza vijijini yatumike kwenye kilimo.
Akili za kijinga kabisa!Hizo hela bora wangenunulia matrekta na kuyasambaza vijijini yatumike kwenye kilimo.
Rais ni most potential referent object bro when comes to grading potentiality of those referent objectsIle gari haiangaliii Usalama wako ni ya Usalama wa Rais
Usalama wa Taifa ni Dhana pana Sana
Wanatakiwa kubaini hadi hujuma kwenye mbegu zenu bora za mazao au chanjo feki za mifugo
Bwana asipoulinda mji, walindao wakesha bure. Tunapaswa kumtukuza M/Mungu anayewawezesha kutimiza ipasavyo majukumu yao.Ninafuatilia sana utendaji wa kazi wa kikosi cha ulinzi wa viongozi wa taifa letu, hakika umeimarishwa. In terms of equipments yaani wana madude yanatisha!. Lile gari lenye maminara kibao linafanana na magari wanayotumia akina Trump na akina Puttin.
Hakika sasa tunajivunia kuwa viongozi wetu wanalindwa. Hongera sana Kamishna mTISS Diwani hakika kazi yako imesimama. Sisi wananchi tunajivunia kuiona TISS iliyosimama haswa.
Acha kufanisha mossad and cia na vitu vya hovyo.Ninafuatilia sana utendaji wa kazi wa kikosi cha ulinzi wa viongozi wa taifa letu, hakika umeimarishwa. In terms of equipments yaani wana madude yanatisha!. Lile gari lenye maminara kibao linafanana na magari wanayotumia akina Trump na akina Puttin.
Hakika sasa tunajivunia kuwa viongozi wetu wanalindwa. Hongera sana Kamishna mTISS Diwani hakika kazi yako imesimama. Sisi wananchi tunajivunia kuiona TISS iliyosimama haswa.
Muhimu tu wawe wazalendo kwa Taifa na sio Chama fulaniIdara ya sasa iko imara, Tanzania iko imara kwa sababu wanaume wapo kazini masaa 24.
Pongezi kwa Mh. Rais kwa kuiwezesha zaidi idara ya usalama wa taifa pia pongezi zangu za dhati ziendee kwa Mkurugenzi wa idara aliemaliza muda wake Modestus Kipilimba kwa kuifanya iwe ya kisasa zaidi na Boss mpya Diwani Athumani kwa kusimamia maadali ya taasisi hii nyeti.
Muhimu tu wawe wazalendo kwa Taifa na sio Chama fulani
100%Shida yao tu ni kushindwa kujua tofauti ya ccm na Tanzania
Vice Versa is trueKuna mpuuzi mmoja kaihusisha idara na chama tawala wakati hakuna ukweli wowote ndio nilikuwa namsshihisha idara ipo kwa ajili ya Tanzania na si chama...
Hivi tiss wenye midude wanalinda viongozi wa kitaifa wasife kwa Malaria.
Kama taifa kama marekani/Iran/egypt inanunua mifumo ya ulinzi sisi ni nani tusinunue.
Diwani ni Kiongozi bora sana
Unasifia ulinzi wa viongozi ndo unatoa hongera? Nilitegemea usifie jinsi wanavyofanikisha ulinzi wa rasilimali za taifa, ulinzi wa uchumi wa Taifa.
Kweli nchi hii imejaa wajinga sana.
Wanashindwa hata kushauri vizuri uchumi uende sawa tumeishia kuua ajira, soko la korosho, mauzo ya mazao na uwekezaji alafu unakuja kusifia maujinga hapa!
Embu kalale