TISS kitengo cha Intellijensia ya uchumi mnakwama wapi?

Wapo Watanzania wengi tu wamefungua biashara nchi za nje, na hizo nchi hazijaja na hizi hoja za kulinda wazawa ikiwemo hiyo China, Je wachina nao wafukuze watanzania waliopo huko china wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wachina?
Unaweza nitajia kampuni unazozifahamu za watanzania wazawa ambao wapo china wanachimba madini, kulima, au kununua bidhaa ghafi tukiachana na hawa ambao wananunua bidhaa za viwandani yaani madalali wa viwanda vya bidhaa?
 
Wewe unaona ni sahihi Mchina kupewa mgodi kwa Tshs. 200 million wakati kuna Mtanzania huo mtaji anao. Wewe unaona ni sahihi mgeni kupewa “Managerial” position kwenye kampuni ndani ya nchi yetu wakati Watanzania kibao wana ujuzi. Sisi tuna uchungu na hii nchi na tunajua inapigwa vipi!
Achana nalo jinga hilo. Hawa ndio huwa wanatombewa hadi mke sababu anacheka na wanaume wanaomleta hadi home kisha mkewe anasema ni mfanyakazi mwenzangu ni kaka yangu wa kazini.

Matako yake.
 
Kwenye Suala Nyeti kama hili ambalo linabeba mustakabali wa maisha na maslahi yetu huwezi kuona watu wakichangia kwa mapana yake na kwa kuguswa.
Ila masuala kama ya Mwakinyo na konde kutaka kupigana gym thread hii ingekuwa inakimbia vibaya mnoo.
Hakyanani ,alieturoga Watanzania na alaaniwe huko aliko mana wakati wenzetu wanakimbia kwenda mbele,sisi tunakimbia kurudi nyuma.

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Shida ya hii nchi sio viongozi, bali ni wananchi wa nchi hii, wananchi wa hii nchi hawana muda na mambo yenye maslahi kwa nchi yao hata kidogo...na hiyo ndio fursa wanayoitumia viongozi kufanya wanayoyataka yenye maslahi kwao..watanzania ukitaka wachangie mada kwa hisia na hata kuandamana barabarani zungumzia simba na yanga na mambo mengine ya hovyo hovyo yenye kufanana na hayo...
 
sasa kama wameamua kuajiri vilaza na dada na vijana wao wa kazi eti kisa ni watu wao wa karibu ama ndugu zao unategemea nini? nchi inayoongozwa kichawachawa bila kuangalia uwezo wa watu ulishawahi kuona ina maendeleo? katika idara ambazo zimelawitiwa mchana kweupe huko bongo ni hiyo, yaani hamna tofauti na makanisa ya kilokole yaani ukivaa kisuti na tai ukibeba na mbibilia mkuuubwa tayari unajiita mchungaji sijui nabii, the same ukiwa fiisiiemu tayari una qualify kuwa kwenye intelijensia ya nchi which is very wrong. SAFARI NI NDEFU SANA BONGO BAHATI MBAYA.
Yafanyikayo TZ Ni balaa🤣🤣🤣🤣
 
Shida ya hii nchi sio viongozi, bali ni wananchi wa nchi hii, wananchi wa hii nchi hawana muda na mambo yenye maslahi kwa nchi yao hata kidogo...na hiyo ndio fursa wanayoitumia viongozi kufanya wanayoyataka yenye maslahi kwao..watanzania ukitaka wachangie mada kwa hisia na hata kuandamana barabarani zungumzia simba na yanga na mambo mengine ya hovyo hovyo yenye kufanana na hayo...
Inasikitisha sana halafu wanaume wanaongoza kwa huu upumbavu unakuta jitu zima kabisa miaka 45 na zaidi linabishana mambo ya mpira hadi mapovu yanalitoka mdomoni, ndio maana wanawake siku hizi wanazaa sana nje ya ndoa maana anaona jinga kama hili liwe baba watoto wangu hapana.
 
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji ambayo Watanzania wanaweza kuwa nayo. Nilisikitishwa sana na jibu la Mh Spika akidai kwamba mambo mengine ni kulinda diplomasia. Yaani mtu aje nchini kwako kuchukua fursa za wazawa wewe usite kuchukua hatua eti kisa diplomasia. Hii sio sahihi.

Pili kwanini tusirudishe sera ya Magufuli. Hakuna kuruhusu kampuni yeyote kuajiri zaidi ya raia wa 5 wakigeni. Hii itasaidia kujenga uwezo kwa raia wa Kitanzania. Magufuli aliweka kikomo kwenye vibali kwa raia wa Kigeni ili kuwezesha kujengewa uwezo. Hakuna kazi yeyote hapa nchini inashindwa kufanywa na wazawa . Imenichukua muda kuelewa kwanini Magufuli alichukua hii hatua. Hawa watu wanaipiga sana serikali kwa kupunguza makadirio ya mapato kwa sababu kuwaruhusu kwa wingi kwenye makampuni kunawawezesha kutengeneza mtandao wao vizuri. Ushahidi upo.

“Tusipoimarisha uwezo wa watu wetu kushiriki katika uchumi, tutajikuta tunagawana umaskini baadala ya kugawana utajiri. Ni kwa sababu watu wetu hawana ujuzi na elimu ndo maana tunapata wawekezaji uchwara ambao wanakuja kuchukua fursa za Watanzania……” Rostam Aziz
Polepole enzi akiwa Mwenezi aliwahi kuniambia kuwa. CCM inaitumainia sana China ili uchumi wa nchi usitetereke. Hivyo serikali chini ya chama inawapa some special privillege wachina wafungue viwanda na uwekezaji nchini.

Nilimrai sana amshauri Jiwe aanzishe kitengo maalum cha Ujasusi wa kiuchumi nje ya TISS.

CCM inaamini uwepo wa madawati ndani ya TISS vinatosha kukidhi vigezo na uwezo wa nchi kwenye eneo la ujasusi.

Dunia imejaa mashimo, lazima tuwe makini na hilo, pia na sisi tuwachimbie mashimo wanaotuzunguka
 
Na ngoja wafungue kituo chao cha kuuza bidhaa zao ubungo
Pale,kko naionea huruma!
Kaanza mchina atafutia mturuki naye

Ova
Unaweza kuwa sahihi. Ubungo ya wachina ikishamiri tunaweza kudiriki kusema kwa heri Kariakoo. Wafanyabiashara kutoka nchi jirani, kwa mfano, watavutiwa zaidi kwenda kwa Wachina hapo Ubungo badala ya Kariakoo. Ni vizuri mamlaka zinazosimamia biashara na kodi kutafakari juu ya mradi huu badala ya kuwalaumu tiss.
 
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi bungeni mbunge wa Geita vijijini alitoa tahadhari kuhusu Wachina kupewa migodi wakati wana mitaji ambayo Watanzania wanaweza kuwa nayo. Nilisikitishwa sana na jibu la Mh Spika akidai kwamba mambo mengine ni kulinda diplomasia. Yaani mtu aje nchini kwako kuchukua fursa za wazawa wewe usite kuchukua hatua eti kisa diplomasia. Hii sio sahihi.

Pili kwanini tusirudishe sera ya Magufuli. Hakuna kuruhusu kampuni yeyote kuajiri zaidi ya raia wa 5 wakigeni. Hii itasaidia kujenga uwezo kwa raia wa Kitanzania. Magufuli aliweka kikomo kwenye vibali kwa raia wa Kigeni ili kuwezesha kujengewa uwezo. Hakuna kazi yeyote hapa nchini inashindwa kufanywa na wazawa . Imenichukua muda kuelewa kwanini Magufuli alichukua hii hatua. Hawa watu wanaipiga sana serikali kwa kupunguza makadirio ya mapato kwa sababu kuwaruhusu kwa wingi kwenye makampuni kunawawezesha kutengeneza mtandao wao vizuri. Ushahidi upo.

“Tusipoimarisha uwezo wa watu wetu kushiriki katika uchumi, tutajikuta tunagawana umaskini baadala ya kugawana utajiri. Ni kwa sababu watu wetu hawana ujuzi na elimu ndo maana tunapata wawekezaji uchwara ambao wanakuja kuchukua fursa za Watanzania……” Rostam Aziz
Sasa kama wazawa hawachangamkii fursa
Sisi tusile apples 🍎?
 
Unaweza kuwa sahihi. Ubungo ya wachina ikishamiri tunaweza kudiriki kusema kwa heri Kariakoo. Wafanyabiashara kutoka nchi jirani, kwa mfano, watavutiwa zaidi kwenda kwa Wachina hapo Ubungo badala ya Kariakoo. Ni vizuri mamlaka zinazosimamia biashara na kodi kutafakari juu ya mradi huu badala ya kuwalaumu tiss.
Mlaji yeye atafuata unafuu
Tu

Ova
 
Mnashangaa mchina hawa waturuki waliojaa kibao bongo wanaongea hadi kiswazi wanatupiga na vyombo vyao vya bei,,,wengine wana fungua mabalo ya Mtumba Sinza noma sana
 
Wewe bado haujajua global politics zinakwendaje. Sisi kwa wachina ni wateja wa bidhaa zao za viwandani ambazo ni finished products. Wao wanakuja kuchukua rasilimali zetu ghafi ambazo zipo ardhini, ni kwa namna gani hiyo ni fair interaction kati ya mataifa mawili?

Lazima ujifunze kulinda maslahi ya taifa na watu wako acha akili za kijinga za kuwaza kama mtu asiye na utimamu wa akili.

Wao kama wanakuja waje kwa masharti maalumu na kazi maalumu na sio kujikalia kiholela na kufanya wanachotaka kwasababu eti ya diplomasi.

Huu ni upumbavu.
Wewe usiyeweza kutengeneza hata njiti za meno umuwekee masharti mchina? Maskini hana kiapo ndo sisi sasa, China Hakuhitaji wewe kama anavyomuhitaji Marekani ? Wewe unayejua Global Politics Tanzania ina play role Gani huko duniani? Leteni umaskini jeuri wenu mje mvae nyasi na kuogea majani ya papai kama Babu na Baba zetu miaka ya huko nyuma. Kama mnaweza wafukuzeni afu muone mambo yatavyokua, Afu nimeonyesha huko juu Taifa la Marekani limefika hapo kwa mchango wa kila mgeni aliyefika kwao alifanya sehemu katika kuijenga Marekani.
 
Naunga mkono hoja,kwani hakuna kiwango Cha mtaji ambacho raia wa kigeni anaweza kuruhusiwa kuwekeza?

Diplomasia gani anahozunhumzia Spika? Huu ujinga ukome.

Pili hii Nchi Huwa Ina masheria kibao ila hayatekelezwi.Just imagine Mchina anapewa kujenga km 7 za lami na watu wanachekelea wakati sheria ya uzawa inataka mradi wa chini ya Bilioni 50 ufanyike na wazawa.

Huu ujinga haukubaliki 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6diJ_TNl9Q/?igsh=MW9qNmpvN3lnemw0NA==

Tanroad watakachojitetea ni Wakandarasi wa ndani, mtaji wa kufanya kazi hawana. Jambo ambalo ni kweli ukiangalia miradi mingi inayofanywa na wazawa changamoto kubwa ni ukwasi wa kuendesha mradi, ukimpa mzawa mradi wa miezi 24 atafanya kwa miezi 48 sababu alikuwa anasuasua kupata fedha za kuendesha mradi
 
Back
Top Bottom