TISHIO LA NJAA KENYA: Rais Kenyatta apiga marufuku mahindi kuuzwa ng'ambo

Una vitu vianonekana kwa mfano Kenya inaonyesha kabisa kuwa hata wananchi wake wana mentality ya development ila hapa bongo mkuu development ni siasa ya bungeni na kweny vijiwe vya kahawa
Hiyo ni society yako upande wako. ..
 
Wewe ndio naona umeanza siasa, hili la njaa huwa hatulifanyiia siasa au utani. Huwa tunakiri kila tukiwa na tishio na kulishughulikia.
Huko kwenu ndio naona mnatoa matamko tofauti kuhusu tishio la njaa.

Nilikua nafuatilia huu uzi hapa

Swali: Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.

Upande 01: Kuna Njaa Tanzania.
Upande 02: Hakuna Njaa Tanzania.

Serikali: Hakuna Njaa Tanzania.
Vyama vya Upinzani: Kuna Njaa Tanzania.

Viongozi wa Dini: Kuna Ukame na Njaa Tanzania, tumwombe Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na hili.

Baadhi ya Wananchi: Kuna Njaa Tanzania.
Baadhi ya Wananchi: Hakuna Njaa Tanzania.

Wasomi na Wanataaluma kama Ma Dr na Prof. kwenye vyuo vyetu vikubwa wako kimyaaaa. Au wanatengeneza proposal wakafanye research kabisa kama kuna njaa Tanzania ama la!!!!.

Tunakumbuka sijui usemi usemao Mwenye shibe hamjui mwenye njaa????.

Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Njaa hakuna ila tahadhari ipo kutokana mvua kutopatikana kutakuwa na upungufu wa chakula. Sokoni vyakula kibao tu. We unaijua njaa au unaisikia tu?
 
M

Mkuu yaishe maana naona hmna hoja zenye facts ni siasa na dini tu typical tanzania
Facts does not exist. ..change your thoughts. ..create your own facts. .have a nice Sunday my friend. ..
 
Wewe ndio naona umeanza siasa, hili la njaa huwa hatulifanyiia siasa au utani. Huwa tunakiri kila tukiwa na tishio na kulishughulikia.
Huko kwenu ndio naona mnatoa matamko tofauti kuhusu tishio la njaa.

Nilikua nafuatilia huu uzi hapa

Swali: Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.

Upande 01: Kuna Njaa Tanzania.
Upande 02: Hakuna Njaa Tanzania.

Serikali: Hakuna Njaa Tanzania.
Vyama vya Upinzani: Kuna Njaa Tanzania.

Viongozi wa Dini: Kuna Ukame na Njaa Tanzania, tumwombe Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na hili.

Baadhi ya Wananchi: Kuna Njaa Tanzania.
Baadhi ya Wananchi: Hakuna Njaa Tanzania.

Wasomi na Wanataaluma kama Ma Dr na Prof. kwenye vyuo vyetu vikubwa wako kimyaaaa. Au wanatengeneza proposal wakafanye research kabisa kama kuna njaa Tanzania ama la!!!!.

Tunakumbuka sijui usemi usemao Mwenye shibe hamjui mwenye njaa????.

Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Jibu ni hakuna njaa Tanzania
Kuna upungufu wa chakula
Hayo mengine ni kick za kisiasa
 
Usisene na hii tuna spin, lakini serikali imeshasema tunazo tani milioni 1.5 za chakula. Njaa huku umekuwa mtaji wa kisiasa, lakini hakuna anaeonyesha njaa uko wapi na nani mwenye shida ya chakula.

Wapo ambao wana nia ya kuacha ubunge mkionyesha ushahidi wa hicho chakula....

Zitto Kabwe
January 17 at 2:22pm ·
Serikali ya CCM ikinionyesha tani 1.5m za chakula kutoka Hifadhi ya Taifa ya Chakula ambazo inataka kusambaza najiuzulu Ubunge mara moja.
Narudia, mpaka Oktoba 2016 kulikuwa na nafaka tani 90,400 tu Hivi kwenye maghala yote ya NFRA.

Tunashukuru kuwa Hivi sasa ajenda ya tishio la njaa inapata majawabu na matamko. Ndio wajibu wa vyama vya siasa. Kuibua masuala muhimu kwa nchi yetu.

Nimesikia Mwenezi wa CCM ameongea na waandishi Leo. Natarajia ndugu Ado Shaibu atamkaribisha mwenzake ulingoni
 
It is true, I was in Turkana last two weeks saw the situation is terrible.

Wakenya wasiingize siasa KAMA ZA CHADEMA.
Acha ulofa. Apo chadema wameingiaje. Si useme ukweli tu CCM ndyo imeendekeza siasa kila siku kutoa matamko na kuyakanusha wenyewe
 
Wapo ambao wana nia ya kuacha ubunge mkionyesha ushahidi wa hicho chakula....

Zitto Kabwe
January 17 at 2:22pm ·
Serikali ya CCM ikinionyesha tani 1.5m za chakula kutoka Hifadhi ya Taifa ya Chakula ambazo inataka kusambaza najiuzulu Ubunge mara moja.
Narudia, mpaka Oktoba 2016 kulikuwa na nafaka tani 90,400 tu Hivi kwenye maghala yote ya NFRA.

Tunashukuru kuwa Hivi sasa ajenda ya tishio la njaa inapata majawabu na matamko. Ndio wajibu wa vyama vya siasa. Kuibua masuala muhimu kwa nchi yetu.

Nimesikia Mwenezi wa CCM ameongea na waandishi Leo. Natarajia ndugu Ado Shaibu atamkaribisha mwenzake ulingoni

Tulisha mwambia, aache kwanza ataonyeshawa chakula kiko wapi. Mbona bado yupo yupo tuu?
 
Nataman wa malaika wetu angekuwa mwelewa kama huyu presidaa wa jilani,yan anahisi kukili kuwa kuna njaa bonge la aibu kumbe kitu cha kawaida tuu!,tumepoteza mnyama na mifupa yake tumetangaza kila kukicha kwann tusitangaze na hili la njaa ambao linahusu uhai wa raia!
Kuna njaa au kuna ukame, kama ni njaa unaweze wa kununua chakula nje ya nchi. Ukame ni swala jingine kabisa ambalo linatatuliwa na kulinda vyanzo vya maji.
 
Back
Top Bottom