Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,731
- 5,672
Baraza la ushauri limetahadharisha juu ya mgomo wa mabasi na kusema kuwa viongozi wa TABOA hawana mamlaka ya kuitisha mgomo kwasababu sio chama cha wafanyakazi.
Chanzo;Channel Ten
Chanzo;Channel Ten