Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Kamanda Mbowe Lema na Ally Bananga wakiiwa kambini wakipata msosi wa pamoja na wazee wa kimakonde ambao wameamua kuvua ujinga wa ki-CCM na kuvaa ukamanda na kuwapigania watanzania wenzao.
Hii ni mtwara nyumbani kwa kina Nape Nnauye ambako wazee wa kule hawataki kumsikia na CCM yake..M4C ndio tumaini lao
Hii ni mtwara nyumbani kwa kina Nape Nnauye ambako wazee wa kule hawataki kumsikia na CCM yake..M4C ndio tumaini lao