BREAKING NEWS...
Kutoka ofisi ya mwenyekiti wa shughuli za nje za Bunge,
Napenda kutoa habari mpya kwa MARAFIKI wote wa Edward Ngoyai Lowassa.
Siku iliyosubiriwa kwa miaka imewadia, baada ya makundi mbali mbali kufuata agizo la Mhe rais Jakaya Kikwete alilolitoa siku ya sherehe za chama mkoani Ruvuma, na kumshawishi kwa hali na mali siku ya Mhe Lowassa. Ameshawishika na sasa anawatangazia wana safari ya matumaini wote kwamba,
Siku ya tarehe 16/05/2015. (humanizing) atatangaza nia ya kugombea urais wa awamu ya tano wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hivyo anawaomba watu wote wenye mapenzi mema na Nchi yao wajitokeze kumuunga mkono pale uwanja wa Shekh Amri Abed Arusha.
Tuwajulisheni WADAU wote wa safari ya matumaini,
Imetoka kwa,
Ndug. Aboubakar Liongo,
Ofisi ya Edward N. Lowassa,
Mwenge, Dar es salaam.