Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,344
- 10,218
Nelson F.C. yenye makao yake huko mjini Nelson, Lancashire, England iliyoanzishwa mwaka 1882 ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kutoka Uingereza kuipiga klabu ya Real Madrid F.C. huko kwao Uhispania.
Ilikua ni kipindi cha pre-season, basi Nelson F.C. wakajipigia 4 - 2 mnamo mwaka 1923. Haikuishia hapo walijipigia tena Real Oviedo kwa ushindi wa goli 2 - 1.
Safari yao kwenda Spain ilikua nzuri lakini safari yao ktk ligi za England imeishia pabaya ukifananisha na wenzake aliowapiga miaka hiyo.
Kipindi hicho anampiga Real Madrid alikuwa Second Division ambayo kwa sasa tunaijua kama Championship ila leo hii yupo ligi za chini kabisa nchini Uingereza (North West Counties League Division One North) huku Real Madrid akiwa ligi kuu nchini Spain na makombe kibao ya UEFA Champions League.
Ilikua ni kipindi cha pre-season, basi Nelson F.C. wakajipigia 4 - 2 mnamo mwaka 1923. Haikuishia hapo walijipigia tena Real Oviedo kwa ushindi wa goli 2 - 1.
Safari yao kwenda Spain ilikua nzuri lakini safari yao ktk ligi za England imeishia pabaya ukifananisha na wenzake aliowapiga miaka hiyo.
Kipindi hicho anampiga Real Madrid alikuwa Second Division ambayo kwa sasa tunaijua kama Championship ila leo hii yupo ligi za chini kabisa nchini Uingereza (North West Counties League Division One North) huku Real Madrid akiwa ligi kuu nchini Spain na makombe kibao ya UEFA Champions League.