Timu ya kampeni ya Bernard Membe hii hapa

Mkuu mbona wale wa jana ulikuwa unawapamba na kuwajenga lakini hawa wa leo ni kama unawatukana na kuwachafua siasa kazi kweli tutaona mengi sana mwaka huu wanaotumiwa watajulikana na hata wanaotumwa nao watajulikana.

CCM yetu hii mkuu, ngoja tuone tutatoboaje?
 
Mkuu Ocampo, japo baadhi ya watu kwenye hizi team zako, unawabambikia tuu, mfano jina langu kwenye ile team ya yule jamaa yangu, hivyo hata hapa kutakuwa na majina ya uongo!, ila asante kwa very good analysis japo ume mu under estimate yule kijana aliyepachikwa pale Maelezo!.

Ila huyu jamaa, No. 4, ndiye aliyekuwa the "master mind" wa kampeni ya JK, nakumbuka tukiwa pale UDSM, ndipo JK alipotangazia nia!, kwa kukitumia kikundi cha kina Omar Ilyas na Jaque wa ZZK, jamaa huyu ali facilitate JK akaja kutangazia nia pale Nkurumah, pia najua alizawadiwa nini baada ya kazi ile nzuri!. Sijui na alipo Ilyas ndizo shukrani zenyewe au laa!.

Ili kuijua team "La Mdimu" ni nani na nani, njoo Dodoma siku MFA inawasilisha budget yake, utawaona wote, na ni kweli huwa namuona huyu jamaa, hii inamaanisha mgombea yoyote anayesupportiwa na huyu jamaa ndiye rais wetu wa 2015!.
Hili la kuonekana kama haeleweki, pia linawezekana ili kulinda track record yake, hawezi kuendelea kupoteza nguvu na resources zake kwa mtu asiyeuzika kabisa!, panga pangua, piga ua galagaza, yule "jamaa yangu" ndio mpango mzima!, nadhani huyu jamaa amelitambua hilo and I hope soon atafanya uamuzi wa busara!.

Thanks.
Pasco
 
mwee mbona mwaka huu mtamu sana...inabidi nitafute ipad kabisa maana ngoma badi mbichi kabisaaa...
 
Nimemchek Membe hotuba yake kama kapanic vile....amekurupuka so far Mwigulu ana credit tukiacha ushabik
 
Nimemchek Membe hotuba yake kama kapanic vile....amekurupuka so far Mwigulu ana credit tukiacha ushabik
ya mwigilu ilikuwa nzuri,ila alikuwa akakosea Sana baadaa ya kui critisize serikali amabyo yeye yumo na ni waziri .
pale alikuwa anaibomoa ccm bila kujua au alifanya vile maksudu,
na kwa kutamka weakness ya serikali anayo serve as deputy minister for finance,which mean maovu yote yanayofanywa na ccm na serikali yake anayajua lakin hata siku moja hajajitokeza kukemea.
so he is dirty Kama wakina lowasa na wenzake.makongoro is still the man to beat so far
 
Nimemchek Membe hotuba yake kama kapanic vile....amekurupuka so far Mwigulu ana credit tukiacha ushabik

Sio ka panic Membe hafai na ni pumba tupu kichwani mule hakuna kitu pale
 
hiyo team ya kichovu kama ingekuwa ya mpira basi naifananisha na lipuli au villa squad
 
Kumbe membe ni msanii mzuri wa ngoma za kienyeji...
 
Duhhhh mwaka huu jamani hatari tupu ngoja nimsikilize mtoto wa makamba sijui anamwaga sera zipi mwehh!!
 
Mtalia sana,Dr.Slaa ni kiboko ya wote.Subirini October
 
Binafsi naona membe Amekuwa na hotuba inayojieleza na jinsi atakavyoendeleza mipango ya sasa!wengine zimekuwa hotuba ni Kama ndo wanakuwa marais kwa Mara ya kwanza!kumbuka lazima kuna plan zilizopo ambazo utazikuta hakuna serikali waweza kuwa kila kitu kitakuwa kipya!kazungumzia namna atakavyo kabiliana na rushwa!
 
Vijana wa Lowasa wote mko kama wavuta bangi kabisa.
 
Rais ni makongoro nyerere au magufuli wengine wezi tu.
 
Ndugu yetu Bernard Membe ameanza safari ya matumaini

Source:Mzee Mchopa -M/kiti wa CCM mkoa Lindi 7/06/2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…