Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Alianza kuchaguliwa Hashim Juma Issa kutoka Zanzibar kama Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA. Akafuata Paschal Patrobas kama Mwenyekiti wa BAVICHA. Jana, Halima Mdee amekabidhiwa BAWACHA kama Mwenyekiti wao. Hawa wote wana viongozi wenzao katika mabaraza yao. Kiujumla ,wanatengeneza timu. Kukamlika kwatimu hii,lazima nahodha achaguliwe.Ni tarehe 14/9/2014.
Mwenyekiti wa chama atakayechaguliwa ataitumia timu hii mpya ya uongozi ya CHADEMA kusonga mbele. Kwa mastaa waliopo katika timu hii, ni lazima kuchaguliwe nahodha imara. Anayeheshimika na kusikilizwa. Anayewea kusemea na kukemea.
Safu safi imeshapatikana. Bado nahodha tu.Wajumbe husika kazi kwenu...
Mwenyekiti wa chama atakayechaguliwa ataitumia timu hii mpya ya uongozi ya CHADEMA kusonga mbele. Kwa mastaa waliopo katika timu hii, ni lazima kuchaguliwe nahodha imara. Anayeheshimika na kusikilizwa. Anayewea kusemea na kukemea.
Safu safi imeshapatikana. Bado nahodha tu.Wajumbe husika kazi kwenu...
Last edited by a moderator: