jofujulius09
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 105
- 50
Habari JF mimi ni mwanafunz wa chuo. Level ya diploma. Nilikuwa naomba msaada namna ya kuandaa ratiba ya kujisomea. Kwa wale wataalamu ni vigezo vipi ambavyo natakiwa kuvifuata pindi ninapo andaa individual timetable.
Msaada tafadhalini.
Msaada tafadhalini.