Times FM Wanaibagaza Timu ya Simba

Times FM Wanaibagaza Timu ya Simba

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,882
Reaction score
7,916
Times Fm ni redio ya michezo siku nzima, sasa katika hali isiyo ya kawaida leo wanapiga kile kibao cha Ubongo Kids kinachokwenda kwa jina la "Sifuri ni nini".

Huu wimbo mbona hauhusiani na michezo? Mbona kama wanaibagaza Simba?

Pia wanaplay sauti ya Ahmed Ally kila mara ile anayosema maana ya kugawa utamu ni kufungwa mechi 3 mfululizo.

Huu ni udhalilishaji wa kiwango cha juu maana ni kama wanasema timu ya Simba ni wagawa utamu.
 
Ukiwa unatimu mbovu kama ya simba basi mtu akikuangalia tu unahisi anataka akucheke,kwani kuna timu iliyobagazwa msimu uliopita kama yanga kushindwa kufuzu kwenda robo fainali? Basi tulieni saivi zamu yenu na nyie acheni hasira.
 
Redio takataka hizo unafikiri zina uwezo wa kutambua ubaya wa wanachokifanya basi.

Wana waandishi vilaza wasiojua ethics za utangazaji HALI inayoweza kupoteza wasikilizaji wake waliokuwa mashabiki wa hiyo time wanayoicheka.

Ndio maana waajiri wanalazimishwa kuajiri staff wenye skills za kazi wanayoifanya.
 
Redio takataka hizo unafikiri zina uwezo wa kutambua ubaya wa wanachokifanya basi.

Wana waandishi vilaza wasiojua ethics za utangazaji HALI inayoweza kupoteza wasikilizaji wake waliokuwa mashabiki wa hiyo time wanayoicheka.

Ndio maana waajiri wanalazimishwa kuajiri staff wenye skills za kazi wanayoifanya.
Hao waandishi walikula futari iliyoandaliwa na Yanga ramadhani ya mwaka jana hawawezi kuitendea haki Simba.

Uchawa mwingi sana huko kwenye media.
 
Times Fm ni redio ya michezo siku nzima, sasa katika hali isiyo ya kawaida leo wanapiga kile kibao cha Ubongo Kids kinachokwenda kwa jina la "Sifuri ni nini".

Huu wimbo mbona hauhusiani na michezo? Mbona kama wanaibagaza Simba?

Pia wanaplay sauti ya Ahmed Ally kila mara ile anayosema maana ya kugawa utamu ni kufungwa mechi 3 mfululizo.

Huu ni udhalilishaji wa kiwango cha juu maana ni kama wanasema timu ya Simba ni wagawa utamu.
Timu ya Simba ndo mdudu gani huko Dar
 
Back
Top Bottom