Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Utafiti mdogo unaonesha asilimia zaidi ya 90 ya Watanzania kwa sasa hivi, wanaifutilia zaidi klabu ya Yanga kuliko klabu nyingine yoyote Tanzania hii. Kuanzia mitaani, runingani na mitandaoni.
Mbali ya ubora wa kikosi chao, hata kukutana kwa Wajukuu hawa wa Nyerere (Yanga) na Wajukuu wa Mandela (Mamelodi) kumeongeza mvuto kwa habari za klabu Yanga zaidi.
Mbali ya klabu kama klabu, hata msemaji wa Yanga amekuwa akiteka hisia za watu akiongelea masuala ya klabu yake tofauti na wasemaji wengine.
Taarifa hii kwa mujibu wa ukurasa wa kituo cha radio cha Timesfmtz
Note: Hizo 10% zilizobaki wanagawana Azam, Simba, Prison, KMCkmc, Namungo etc
Mbali ya ubora wa kikosi chao, hata kukutana kwa Wajukuu hawa wa Nyerere (Yanga) na Wajukuu wa Mandela (Mamelodi) kumeongeza mvuto kwa habari za klabu Yanga zaidi.
Mbali ya klabu kama klabu, hata msemaji wa Yanga amekuwa akiteka hisia za watu akiongelea masuala ya klabu yake tofauti na wasemaji wengine.
Taarifa hii kwa mujibu wa ukurasa wa kituo cha radio cha Timesfmtz
Note: Hizo 10% zilizobaki wanagawana Azam, Simba, Prison, KMCkmc, Namungo etc