cheers brother!muda gani ni mzuri kwenda?Nenda boko magengeni wanauza kwa jumla
Mda wowotecheers brother!muda gani ni mzuri kwenda?
ukianza kuhesabu unaanza na ngapi?hiyo nimetoa makadirio ya kuanzia ninayohitaji na kuendelea,je ulitaka nije nikutangazie wewe uniletee?kauli nzuri hupima vyema akili ya mtu.hili ni jukwaa huru kuomba ushauri na msaada kimawazo na mafunzo kwa anayejua jambo.next tm Think hard!Tikiti 40 na nanasi 40 unakuja jf kutangaza duh.
thanks brother,kesho naelekeaMda wowote
ukianza kuhesabu unaanza na ngapi?hiyo nimetoa makadirio ya kuanzia ninayohitaji na kuendelea,je ulitaka nije nikutangazie wewe uniletee?kauli nzuri hupima vyema akili ya mtu.hili ni jukwaa huru kuomba ushauri na msaada kimawazo na mafunzo kwa anayejua jambo.next tm Think hard!
Hehe katikiti kamoja hadi 40 eti!Hzo 40 ni tons au
i believe if you read keenly between my lines above,u will understand what excactly what i asked especially on quantitez,Fernando sucre got my question right and thats why immedietly got the answer written.waste no time brothers to quotes otherwise.@saju b,for life,daudthefarmer READ BTN THE LINES! cheers brothers....Habari wadau,nahitaji tikiti maji nzuri na kubwa kwa bei ya jumla pamoja na Nanasi nzuri.quantity nachukua kuanzia 30,40 na kuendeleaKumbuka nahitaji kwa bei ya jumla.napatikana mbezi tangi bovu dar es salaam
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzenu yuko serious jamani ah ahNimecheka sana.
Watu tunataka wateja wa tani nzima wewe unataka tikikiti 30 alafu unatangaza jf.
Kweli kua uyaone
quantity nachukua kuanzia 30,40 na kuendeleaKumbuka nahitaji kwa bei ya jumla.napatikana mbezi tangi bovu dar es salaam.READ THAT...Nimecheka sana.
Watu tunataka wateja wa tani nzima wewe unataka tikikiti 30 alafu unatangaza jf.
Kweli kua uyaone
BRO SANTANA kwa uwelewa wako huo sasa utapataje mteja wa tani,mpaka unakua na tani bado hujui pa kizipeleka tu???now your seriously not serious....heheheeeequantity nachukua kuanzia 30,40 na kuendeleaKumbuka nahitaji kwa bei ya jumla.napatikana mbezi tangi bovu dar es salaam.READ THAT...
easy man!soma kipande hiki nimekumegulia kwa kua hukusoma vizuri na uwelewa labda upo tofauti,"quantity nachukua kuanzia 30,40 na kuendeleaKumbuka nahitaji kwa bei ya jumla.napatikana mbezi tangi bovu dar es salaam"Now rudi soma katangazo nilivyoandika.Na namshukuru alienipa lead nimeshapata.ngoja niendelee kuwaona mkitiririka!haahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzenu yuko serious jamani ah ah