Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Wadau hawa jamma wa Tigo vipi?. Yaani huku milima ya Dar es Salaam ni janga.
Au Satellite yao imedondoka au imepigwa JAM GEAR?
Au Satellite yao imedondoka au imepigwa JAM GEAR?
yan huwa natmia tg na voda,kwakweli ckuhz line ya voda nimeacha kuweka hela huwa napokea v cm mtandao wa tg ni majanga kwenye internet
yan huwa natmia tg na voda,kwakweli ckuhz line ya voda nimeacha kuweka hela huwa napokea v cm mtandao wa tg ni majanga kwenye internet
Tigo kwishnehi.. .!
Flora unatumia tigo?
Mimi nipo mwanza jiji (bugarika). Internet ya tigo na zantel ni ya kizamani. Wanatumia EDGE. Voda na airtel wanatumia 3G. Laini ya tigo na zantel nilishatupa chooni long timeWadau hawa jamma wa Tigo vipi?. Yaani huku milima ya Dar es Salaam ni janga.
Au Satellite yao imedondoka au imepigwa JAM GEAR?