Hivi nyie Tigo ni sisi ndio tuliwatuma mfanye marekebisho ya tigo pesa? Si nyie mlikuja kwa adabu kutafuta wateja? Naona sasa mnatunyanyasa.
Tangu mfanye marekebisho ya Tigo pesa hamtaki kurudisha pesa zetu.
Iko hivi wadau, nilikosea kutuma pesa bahati mbaya kwa mtu, nikawajulisha Tigo wakaizuia. Sasa ni wiki karibu ya tatu hawataki kurudisha pesa yangu. Ukipiga customer care hakuna cha maana zaidi ya kusema tatizo linashughulikiwa, Tigo shop nao wanasema tatizo linashughulikiwa muda mrefu sasa umepita, mara wanasema nitapigiwa simu toka makao makuu lakini kimya au mnataka rushwa? Semeni.
Jamani tumechoka rudisheni pesa zetu tunazihitaji na nitauacha rasmi mtandao wenu kwa kuwa hamjali wateja wenu.
Tangu mfanye marekebisho ya Tigo pesa hamtaki kurudisha pesa zetu.
Iko hivi wadau, nilikosea kutuma pesa bahati mbaya kwa mtu, nikawajulisha Tigo wakaizuia. Sasa ni wiki karibu ya tatu hawataki kurudisha pesa yangu. Ukipiga customer care hakuna cha maana zaidi ya kusema tatizo linashughulikiwa, Tigo shop nao wanasema tatizo linashughulikiwa muda mrefu sasa umepita, mara wanasema nitapigiwa simu toka makao makuu lakini kimya au mnataka rushwa? Semeni.
Jamani tumechoka rudisheni pesa zetu tunazihitaji na nitauacha rasmi mtandao wenu kwa kuwa hamjali wateja wenu.