TIGO wamevunja ndoa yangu

SERIKALI 3

Member
Apr 27, 2014
82
18
Intro; Juzi mchana kutwa nilichepuka na Binti mmoja mwaka wa PILI Chuo fulani hivi huko morogoro.

Kilichotokea; Jana mida ya saa 12:03 mchana akanitumia "text" kwa ajili ya kunipongeza kwa kutoa huduma murua na iliyokidhi mahitaji yake (Kimwili, Kiroho na Kiakili), lakini pia kunipa taarifa ya jinsi alivyochoka mapaja hata kufikia kuwaza "UE" ya J'3 ataifanyaje!

Upuuzi wa tigo: Pamoja na kuifuta text hiyo kwenye simu yangu, ila imekuwa ikija kila baada ya dakika 45 ama baada ya masaa mawili (2) hivi. Mpaka jana saa 2 usiku ilijirudia tena na WIFE yaan MKE wangu akafanikiwa kuinasa.

Mke amesepa kwao: Nadhan mpaka muda huu yupo kati ya Chalinze na Morogoro kama basi linatembea vizuri, maana anarudi kwao TUNDUMA>

Nini Nifanye kwa Hawa Tigo: Je , wana JF nina weza kuwashtaki hawa tigo kwa kushindwa kulinda USIRI wangu yaan "PRIVACY" hadi kufikia kuvuruga NDOA Yangu?
 
Kwani ukifanya kazi lazima upewe pongezi?? Kupenda kwako pongezi na sifa ndo kumekuponza
 
Wao Tigo ndio wanatakiwa wakushtaki kwa kutaka kuwaharibia sifa wakati wao wanajaribu kumuondelea mkeo dhahama.
 
tigo wapuuzi sana mimi kuna text tokea juzi inajirudia kutakua na tatizo kwenye mtandao wa sms mana wameconcentrate na whatsapp ya bure...ila heading yako nayo ni jipu
 
hata mm kuna watu wawili wa tigo nimewatumia txt jana wanadai inajirudia kila baada ya saa 2.
 
Huwa inatokea maranyingi sijui tatizo nini kwa kweli hawa tigo inabidi wawe makini pole sana mkuu, nenda ofisini uka baeleze na wamtumie msg mkeo waseme mitambo ilikosea, kwani kwenye msg mchepuko ulikutaja jina?
 
Huwa inatokea maranyingi sijui tatizo nini kwa kweli hawa tigo inabidi wawe makini pole sana mkuu, nenda ofisini uka baeleze na wamtumie msg mkeo waseme mitambo ilikosea, kwani kwenye msg mchepuko ulikutaja jina?
hapana, ila mke wangu anaamini kwenye hadithi za hayati mwalimu nyerere " eti mke wa kaisari hastahili hata kutuhumiwa" sasa iweje mie nituhumiwe na kwann hiyo text ije kwangu na wala sio kwako?
 
Back
Top Bottom