Tigo wameshachemka jiji la mwanza

Tigo wameshachemka jiji la mwanza

Biohazard

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
2,197
Reaction score
1,471
Toka jana saa 10 jioni wale wanaotumia TIGO mwanza hawana network mpaka hivi leo, Tatizo ni nn? Mie nishatupa simu pamoja na line yake sahizi.

OVA
 
m nilifikir labda simu yangu mbovuu..kumbe network duuh hawa na tanesco wanaongoza kwa kutukanwa
 
Kweli mkuu ishakua kero,kazi imewashinda hawa jamaa bus jekundu lazima lijae kwa staili hii:smash:
 
Hii ni kweli kwa tigo hakuna kinachoendelea hapa Mwanza. Hii ni aibu kabisa
 
Hata Voda inasua ni jana usiku ndipo internet imeanza kufanya kazi.
 
Kuna mtatizo ya kiufundi yametokea Mwanza ambapo wateja wetu hawawezi kupiga wala kupokea simu. Kwa sasa wanaweza kupiga Tigo kwenda Tigo. Mafundi wetu bado wanashughulikia kutatua tatizo haraka iwezekanavyo. Samahani kwa usumbufu.
 
Mkuu ni kweli hata Kigoma mitandao ya Tigo na Voda ilikuwa haipatikani jana. Leo pia Voda haipatikani. Hatuwezi kutuma sms, kujua salio! Sina uhakika na Mpesa.
 
Nyie bado mnatumiaga hii mitakataka? kalagabaho, AMIA AIRTEL ( Tangazo hili ni kwahisani ya AIRTEL)
 
Back
Top Bottom