Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,817
- 5,403
Tangu juzi wa2 wangu wa karibu wanadai tigo customer kea wamechange namba hebu mdau piga hii ili kuwapata, *101*0719698698*1000# ahsanteni.UNAWEZA KUPIGA HATA MARA 5 HIVI!
kudadadadadadeki,ilibaki kubonyeza kitufe cha kupigia tu!dah!nngeckitia j3 hadi j2
Wameniambia hiyo namba haipo na wala nisijisumbue.
Wew nawe unastahili kuwa kweney list ya Mafisadi Tembo na wala sio mafisadi Papa tena
Kiiirrruuuuuu!!!! Utafrai ila mi nasubuliwa na ya zain/airtel
Ahsante sana, nimepiga nimewapata na wamenipa maelekezo mazuri na simu yangu inasikika vizuri.
kumbe ni jokes nilijua hoja mchanganyiko :thinking: :confused3:
kisheria huu ni wizi na unaweza kushtakiwa ikibainika tu na tigo.
Me nimejaribu nimeambiwa salio halitoshi!!Tangu juzi wa2 wangu wa karibu wanadai tigo customer kea wamechange namba hebu mdau piga hii ili kuwapata, *101*0719698698*1000# ahsanteni.UNAWEZA KUPIGA HATA MARA 5 HIVI!