dr.makarang
Member
- Jul 5, 2013
- 98
- 25
salam wana JF.Ni mda mrefu watumiaji wa cm hasa makampny matatu niliyotaja hapo juu tumekua kimya pamoja na kuumia na huduma mbuvu wanazozitoa kwetu.makampuny haya wateja wamekua watumwa na pengne kulazimika kuingia hasara za mamilion ya fedha bila hata kulalamika.TUNAIBIWA/KUTUKANWA kwa njia ambazo wanaweza kuzizibiti.zifuatazo ni baadhi ya jero kuu ambozo makamony haya yanafaa kushitakiwa.1;wateja kukatiwa network mda wowote bila taarifa maalum na kwa kipindi jisichojulikana(zaidi Tgo/airtel),2;kutumiwa ujumbe wa biashara mda wowote tena na compuny tofauti bla idhini ya mwenye namba.(voda/Tgo),3;Namba moja kwa line mbili na watumiaji wawili tofauti waliosajiliwa(Tigo),4;uwezo wa GB kubwa na udhaifu wa network kwa baadhi ya maeneo(airtel mjini dar),NI MENGI SANA,YANATOKEA NA TUNAKAA KIMYA.TCRA WAPO KIMYA HAWANA MDA.WATU WANAIBIWA KILA SIKU.......5;kupiga zaidi ya maramoja kwa mtu mmoja(no haipo/hapatikani/inatumika) au mda mfupi wa cm kuita na biashara ya ujumbe wa sauti bila elimu na makubariano na mteja.(tgo),6;utambulisho wa pravite busnesss area kama bar/hoter n.k bila kujari the customer life tension.(tgo),