mpuko
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 662
- 552
Salaam wana jamvi.
Mimi ni mtumiaji mzuri na wa siku nyingi wa huu mtandao wa mawasiliano wa tiGO. Lakini ni kwa muda sasa huduma zao zimekuwa mbovu. Unaweza kutuma sms ikachukua siku nzima kumfikia mlengwa, au wakati mwingine isifike kabisa! Kilichofanya niandike hapa ni kukatika katika kwa huduma ya internet. Jana kutwa hatukuwa na huduma hiyo, wakaomba radhi na kuahidi kufidia huo muda. Leo poa mambo ni yaleyale japo leo ni afadhali kidogo kwakuwa inakatika kwa muda na kisha kurudi.
Tafadhali sana tiGO Tanzania tunawaomba rekebisheni kasoro hizo haraka sana. Lasivyo tutawahama!
Mimi ni mtumiaji mzuri na wa siku nyingi wa huu mtandao wa mawasiliano wa tiGO. Lakini ni kwa muda sasa huduma zao zimekuwa mbovu. Unaweza kutuma sms ikachukua siku nzima kumfikia mlengwa, au wakati mwingine isifike kabisa! Kilichofanya niandike hapa ni kukatika katika kwa huduma ya internet. Jana kutwa hatukuwa na huduma hiyo, wakaomba radhi na kuahidi kufidia huo muda. Leo poa mambo ni yaleyale japo leo ni afadhali kidogo kwakuwa inakatika kwa muda na kisha kurudi.
Tafadhali sana tiGO Tanzania tunawaomba rekebisheni kasoro hizo haraka sana. Lasivyo tutawahama!