Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,622
Habari wote,
Huu mtandao wa simu umekua na kero nyingi sana,
Kwa sasa ni hili jambo la kumpigia simu mtu kisha wao wanakuwekea tangazo la biashara kisha ndio wanakwambia kuwa anapatikana, anatumika au hapatikani.
Yaani jambo la msingi na la kwanza lililosabababisha niweke vocha wenyewe wanalifanya la mwisho.
Huu mtandao wa simu umekua na kero nyingi sana,
Kwa sasa ni hili jambo la kumpigia simu mtu kisha wao wanakuwekea tangazo la biashara kisha ndio wanakwambia kuwa anapatikana, anatumika au hapatikani.
Yaani jambo la msingi na la kwanza lililosabababisha niweke vocha wenyewe wanalifanya la mwisho.