Tigo pesa na mpesa

Tigo pesa na mpesa

Joined
Aug 27, 2013
Posts
68
Reaction score
4
Nauza line ya tigopesa na mpesa nipo dar,sababu ya kuuza nilizinunua na muda huu sizihitaji tena,namba hiyo hapo fursa hiyo 0689626886
 
Nauza line ya tigopesa na mpesa nipo dar,sababu ya kuuza nilizinunua na muda huu sizihitaji tena,namba hiyo hapo fursa hiyo 0689626886

ni bei gani nisijisumbue kupiga simu. Kuna mmoja alitoa tangazo kama hili hapa nikapiga simu akaniambia anaziuza 900,000/= nikajuta kupiga simu. Usione aibu ya kuweka bei we weka tu aliye ridhika na hizo bei atapiga simu ambaye hajariddika ndio hivyo tena.
 
ni bei gani nisijisumbue kupiga simu. Kuna mmoja alitoa tangazo kama hili hapa nikapiga simu akaniambia anaziuza 900,000/= nikajuta kupiga simu. Usione aibu ya kuweka bei we weka tu aliye ridhika na hizo bei atapiga simu ambaye hajariddika ndio hivyo tena.

usiogope unakaribishwa
 
laini ziko mbili ya voda na tigo kama unahitaji namba hiyo hapo

Mbona jambo dogo tu mkuu! tunajua una laini mbili voda na tigo, Mlachake amekuomba uweke bei. Huoni kwamba watakaokutafuta baada ya kuweka bei ni wale tu ambao wako serious na watamudu hizo bei?

Thanks
 
Last edited by a moderator:
Mbona jambo dogo tu mkuu! tunajua una laini mbili voda na tigo, Mlachake amekuomba uweke bei. Huoni kwamba watakaokutafuta baada ya kuweka bei ni wale tu ambao wako serious na watamudu hizo bei?

Thanks

Achana naye anaonekana msanii. wala haina anachouza huyu. Kuna kitu anatafuta zaidi ya kuuza line. my wife Madam B please dont call this person utatongozwa bure
 
Last edited by a moderator:
ni bei gani nisijisumbue kupiga simu. Kuna mmoja alitoa tangazo kama hili hapa nikapiga simu akaniambia anaziuza 900,000/= nikajuta kupiga simu. Usione aibu ya kuweka bei we weka tu aliye ridhika na hizo bei atapiga simu ambaye hajariddika ndio hivyo tena.
mimi aliniambia sh700,000/- nikamuulkiza na mtaji wa kuanzia? wabongo bwana, very disastrous!🙂
 
mimi aliniambia sh700,000/- nikamuulkiza na mtaji wa kuanzia? wabongo bwana, very disastrous!🙂

LAINI YA WAKALA WA M-PESA NA TIGO PESA

Price: TSH 1,000,000
Date Listed: Sep 1, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 652 485 616 begin_of_the_skype_highlighting
numbers_button_skype_logo.png
+255 652 485 616 FREE end_of_the_skype_highlighting
Area: Dar Es Salaam

Nauza laini wa wakala wa vodacom M-PESA na TIGO PESA. Haina tatizo. Commission inaingia kila mwezi bila problem.
TIGO PESA --- Tsh 1,000,000 None negotiable.
M-PESA--------Tsh 400,000 negotiable.
Nipigie tuongee. jokers please, keep off
 
Mkuu mi nnayo ya M PESA na AIRTEL MONEY bei ni 500 000 kwa kila moja tu..sababu za kuuza ni kama za huyo jamaa..niko dar ncheki kwenye namba hii 0657714397
 
Mbona jambo dogo tu mkuu! tunajua una laini mbili voda na tigo, Mlachake amekuomba uweke bei. Huoni kwamba watakaokutafuta baada ya kuweka bei ni wale tu ambao wako serious na watamudu hizo bei?

Thanks

kwa zote nilinunua milioni
 
Last edited by a moderator:
kwa zote nilinunua milioni

Ok, wewe unauza Sh ngapi sasa, na unauza kwa zote au mojamoja? Hivyo ndio biashara inavyoenda mkuu. Yaani unatoa maelezo yenye kujitosheleza hadi unamshawishi mtu kununua bidhaa yako.

Kwa kesi yetu.

Ungesema unauza kila moja kiasi gani na kuna maelewano au bei uliyotaja hapo ndio kikomo. Una vielelezo vinavyoonyesha kwamba wewe ni mmiliki halali wa hizo laini?

Ubarikiwe mkuu
 
Ok, wewe unauza Sh ngapi sasa, na unauza kwa zote au mojamoja? Hivyo ndio biashara inavyoenda mkuu. Yaani unatoa maelezo yenye kujitosheleza hadi unamshawishi mtu kununua bidhaa yako.

Kwa kesi yetu.

Ungesema unauza kila moja kiasi gani na kuna maelewano au bei uliyotaja hapo ndio kikomo. Una vielelezo vinavyoonyesha kwamba wewe ni mmiliki halali wa hizo laini?

Ubarikiwe mkuu

kila kitu kipo
 
Back
Top Bottom