Tigo pesa kuna tatizo gani

Tigo pesa kuna tatizo gani

Foxhound

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
28,735
Reaction score
76,363
Habari waungwana,
Ama baada ya salaam kuna kitu nimeona nisijadili peke yangu, niwashirikishe nanyi ili afadhali michango yenu itasaidia kwenye hili niweze kujua ni wapi pa kuanzia. Ni hivi, asubuhi saa 12:45 nilipokea msg kutoka tigo pesa wakati sijafanya muamala wowote ikinielezea kuwa nihakikishe nina muamala wa kutosha kisha nijaribu tena nikapuuzia maana nilikuwa natoka usingizini, hivyo nilihisi labda mawenge yangu tu. Sasa na jioni hii saa 12:45 ile msg imekuja tena ikinitaka vile vile nihakikishe nina muamala wa kutosha kisha nijaribu tena. Simu yangu kila sehemu ina password. Jamani tigopesa kulikoni au kuna mjinga anatekenya betri lakini hamna kitu??
 
Habari waungwana,
Ama baada ya salaam kuna kitu nimeona nisijadili peke yangu, niwashirikishe nanyi ili afadhali michango yenu itasaidia kwenye hili niweze kujua ni wapi pa kuanzia. Ni hivi, asubuhi saa 12:45 nilipokea msg kutoka tigo pesa wakati sijafanya muamala wowote ikinielezea kuwa nihakikishe nina muamala wa kutosha kisha nijaribu tena nikapuuzia maana nilikuwa natoka usingizini, hivyo nilihisi labda mawenge yangu tu. Sasa na jioni hii saa 12:45 ile msg imekuja tena ikinitaka vile vile nihakikishe nina muamala wa kutosha kisha nijaribu tena. Simu yangu kila sehemu ina password. Jamani tigopesa kulikoni au kuna mjinga anatekenya betri lakini hamna kitu??

Screenshot_20190818-184640.jpeg
 
😂😂😂😂 wameshachomoa betri hapo, wapigie ung'ake kama mwehu na vitisho juu
 
Mkuu hiyo jambo LA kawaida mambo ya system hayo but pesa zako zipo salama
 


ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
 
TIGO Sijawaelewa leo nacheki pale kwenye mikopo eti nakuta nadaiwa Laki 3, hii inakuaje na mimi sijakopa?
 
Back
Top Bottom