BABA NI CCM
Member
- Nov 24, 2018
- 86
- 98
Hili tangazo kuanzia audio iliyopo maredioni hadi picha pamoja na hali ya mjadala wa ushoga uliotawala taifa na dunia kwa sasa swali langu kwenu mtandao wa Tigo.
Tigo mnafeli wapi!?, ni kwamba mmekosa idara yenu ya masoko ipo wapi?, hivi hamna sera na kanuni za maadili?. Sawa mnaweza kusema ni biashara na uchekeshaji
Naomba baraza la sanaa, kamati ya maadili taifa pamoja na jumuiya yangu wa wazazi CCM embu mulikieni upya hili tangazo halina picha na jumbe nzuri kwa taifa letu.
Ikumbukwe hatufungii tu nyimbo zinazopotosha maadili bali hata haya matangazo na maigizo yanayokiuka maadili yetu ya asili ni yakufungia na faini juu. Hili liwe fundisho.
