Tigo mmezidi wizi sasa haa!

Tigo mmezidi wizi sasa haa!

ukiwa na tigo ukitaka kununua kifurushi ni bora usiwe na salio kwani kifurushi chao kikiisha na salio lolote ulilo nalo linaisha
 
ukiwa na tigo ukitaka kununua kifurushi ni bora usiwe na salio kwani kifurushi chao kikiisha na salio lolote ulilo nalo linaisha
Na Mjasiria Akili aelewe hayo kuwa Internet ina mambo mengi si kuweka pesa na kusurf au kuDownload
  • Ukinunua Bundle yoyote ya siku au wiki ,ikiisha tu hela iliyobaki wanakata km hela
  • UkiDownlod chochote wanakata Bundle yako ndani ya Dakika
  • Maana katika TiGo kuna MINI KABANG, Xtreme Park na KABANG nazo zina makato tofauti
  • Umalizapo Bundle watakutaarifu na ukichelewa km kuna hela watakata na kukuzawadia 10Mb
  • Usioishtuka watakata hela iliyobaki tofauti km ungenunua Bundle
Ni Mitandao yote tu lazima ununue muda kutokana na utakachokitaka. km ni Kudownload Xtreme park ya 499/= kwa 100Mb haitoshi zaidi ya hapo utadai kuibiwa
 
Last edited by a moderator:
hilo swala la Tigo ni kizungu mkuti, tena umenikumbusha machungu kweli maana nimelizwa mara kibao natamani niachane nao hawa Tigo shida namba yangu niyamiaka mingi naweza kuathirika lakini ipo siku, baya zaidi hatuna mtetezi .

Mimi naifurahia sana, just kwa sh 11'000 tu kwa mwezi sijawahi ona wabaya, nipm
 
Na Mjasiria Akili aelewe hayo kuwa Internet ina mambo mengi si kuweka pesa na kusurf au kuDownload
  • Ukinunua Bundle yoyote ya siku au wiki ,ikiisha tu hela iliyobaki wanakata km hela
  • UkiDownlod chochote wanakata Bundle yako ndani ya Dakika
  • Maana katika TiGo kuna MINI KABANG, Xtreme Park na KABANG nazo zina makato tofauti
  • Umalizapo Bundle watakutaarifu na ukichelewa km kuna hela watakata na kukuzawadia 10Mb
  • Usioishtuka watakata hela iliyobaki tofauti km ungenunua Bundle
Ni Mitandao yote tu lazima ununue muda kutokana na utakachokitaka. km ni Kudownload Xtreme park ya 499/= kwa 100Mb haitoshi zaidi ya hapo utadai kuibiwa

Sijui kama umeelewa nilicholalamika zaidi naona umeingilia kazi ya kunitangazia vifurushi kazi ambayo wanaifanya kwa kunitumia sms za hayo matangazo kila saa mpaka kero soma uelewe sio unakurupuka
 
Last edited by a moderator:
Sijui kama umeelewa nilicholalamika zaidi naona umeingilia kazi ya kunitangazia vifurushi kazi ambayo wanaifanya kwa kunitumia sms za hayo matangazo kila saa mpaka kero soma uelewe sio unakurupuka
Ninachokataa TiGo si majambazi, ni wewe tu hukujua km kuna kuDownload na kuperuzi
Mm sio mtabiri lakini umetuletea malalamiko kwani sisi TiGo
umesema unaperuzi 10Mb mpaka sasa 20 ni kwamba bado upo Jamii Forums au facebook
lkn Download chochote Mb zote zitayeyuka

Cha ajabu hizo mb 10 walizonipa ninaperuzi mpaka sasa 20 bado nina mb 8 yani nimetumia mb 2 tu
Huu ni wizi zaidi ya ujambazi
Usihame Tigo kwani sio Majambazi
 
Jamani nilifikiri hiki kitu kinanitokea peke Yangu
Una salio mia 3 unambiwa huna salio LA kutosha kupiga cm,
Mara una salio mia 4 unashangaa wamekata huko lote huelewi limeenda wapi
Shida ni nini
 
Ninachokataa TiGo si majambazi, ni wewe tu hukujua km kuna kuDownload na kuperuzi
Mm sio mtabiri lakini umetuletea malalamiko kwani sisi TiGo
umesema unaperuzi 10Mb mpaka sasa 20 ni kwamba bado upo Jamii Forums au facebook
lkn Download chochote Mb zote zitayeyuka


Usihame Tigo kwani sio Majambazi

Nimeongea habari ya kudownload hapa? Unahakika nimedownload?
Hebu acha kunichefua au unadhani mimi mjinga sijui ukidownload bundle linayeyuka
Acha kijipa kazi isiyokuhusu
 
Ninachokataa TiGo si majambazi, ni wewe tu hukujua km kuna kuDownload na kuperuzi
Mm sio mtabiri lakini umetuletea malalamiko kwani sisi TiGo
umesema unaperuzi 10Mb mpaka sasa 20 ni kwamba bado upo Jamii Forums au facebook
lkn Download chochote Mb zote zitayeyuka


Usihame Tigo kwani sio Majambazi

"Mpaka sasa 20" hii nini sasa fyuuuuuuu
 
"Mpaka sasa 20" hii nini sasa fyuuuuuuu
Nilikua naperuzi jf sindio inaingia sms saa 16:47 ikiniambia nimebakiwa na mb 2? Hivyo nijiunge kifurushi kinachoniaa
Baada ya dk 2 yaani 16:49 inaingia sms nyingine baada ya dk 2 hiyo ikiniambia nimezawadiwa mb10 baada ya kutumia sh 500 kuperuzi haa! Si ndio nashangaa yani zile mb 2 zimeisha kwa dk 2 kuoeruzi jf? No
Cha ajabu hizo mb 10 walizonipa ninaperuzi mpaka sasa dk 20 bado nina mb 8 yani nimetumia mb 2 tu
Huu ni wizi zaidi ya ujambazi
Post zako zote za kwako, naona hujui unachokiandika na kuuliza

nachomaanisha TiGo si majambazi
kwa maswali zaidi ingia Google Tigo Tanzania

kuliko kuja kuchafua Makampuni ya watu humu
 
Post zako zote za kwako, naona hujui unachokiandika na kuuliza

nachomaanisha TiGo si majambazi
kwa maswali zaidi ingia Google Tigo Tanzania

kuliko kuja kuchafua Makampuni ya watu humu

Narudia ni wezi sbb wameniibia mimi si mwendawazimu nanunua bundle kila siku najua matumizi yake na sina haja ya kuwafuata google wa nini sbb namba 100 ipo na nimeshagombana nao vya kutosha
Kama inakukera potezea
 
unapojiunga na kifurushi na kinapoisha wanakutumia msg kukutaarifu kifurushi kimekwisha. Sasa kama una salio kwenye simu, unachotakiwa kufanya ni:

1. Zima internet service.Hii inapatikana ktk settings»mobile networks»packet data.

2. Baada ya kuzima, kama unajiunga tena na kifurushi, fuata steps za kujiunga kama kawaida.

3. Washa tena internet service kwa kufuata step nilizoeleza namba (1)
 
unapojiunga na kifurushi na kinapoisha wanakutumia msg kukutaarifu kifurushi kimekwisha. Sasa kama una salio kwenye simu, unachotakiwa kufanya ni:

1. Zima internet service.Hii inapatikana ktk settings»mobile networks»packet data.

2. Baada ya kuzima, kama unajiunga tena na kifurushi, fuata steps za kujiunga kama kawaida.

3. Washa tena internet service kwa kufuata step nilizoeleza namba (1)

Haya unayosema mm ni master nayajua yote
Mm bahati nzuri simuyangu sihitaji kwenda mbali hivyo kuna shortcut nawasema sbb wameniibia hawa ni wezi na majambazi wakibwa
 
Back
Top Bottom