Tigo mmezidi wizi sasa haa!

Tigo mmezidi wizi sasa haa!

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Nilikua naperuzi jf sindio inaingia sms saa 16:47 ikiniambia nimebakiwa na mb 2? Hivyo nijiunge kifurushi kinachoniaa
Baada ya dk 2 yaani 16:49 inaingia sms nyingine baada ya dk 2 hiyo ikiniambia nimezawadiwa mb10 baada ya kutumia sh 500 kuperuzi haa! Si ndio nashangaa yani zile mb 2 zimeisha kwa dk 2 kuoeruzi jf? No
Cha ajabu hizo mb 10 walizonipa ninaperuzi mpaka sasa dk 20 bado nina mb 8 yani nimetumia mb 2 tu
Huu ni wizi zaidi ya ujambazi
 
vodacom, tigo wez tu mtandao wa uhakika ni airtel
 
  • Thanks
Reactions: NHS
yaani watumiaji wa tigo sijui wanawezana vipi na huu mtandao, mie nishaamua kuhamia zangu airtel. tigo hela zinayeyuka utafikiri wana chuma ulete. ukitaka kupiga simu unashangaa salio zero wakti ulikuwa na balance ya kutosha.

Karibu airtel angalau wana chembechembe za huruma kwa wateja, na kuanzia saa 6 usiku ni free internet.
 
vodacom, tigo wez tu mtandao wa uhakika ni airtel

Tigo na Voda ndiyo CCM halisi, yaani wana kila characteristics za
CCM yaani ulaghai, wizi, ujambazi na uharamia!
Nasikia sasa wanakusanya fedha za kampeni za CCM za mwaka 2015.
Hii inadokeza kwa nini serikali imebakia "impotent" na wizi wa makampuni haya. Kwa hakika CCM ni mdau wa uhalifu wa makampuni haya, haiwezekani ulale na salio la 5,000/= asubuhi uamke na Sh. 245! Tena hata hizo ikifika saa 5 asubuhi unakuta salio 0! Shit!!!!!
 
mwenye kujua kuhusu tigo bima jamani!
nikiwapigia wananizungusha tu. mim nataka kujua hii tigo bima itanisaidia vipi na wakati gan, na ni kwanin wanatulazimisha kujiunga bila hiara yetu
 
Karibu airtel angalau wana chembechembe za huruma kwa wateja, na kuanzia saa 6 usiku ni free internet.

Hakuna kitu ata airtel wezi .wanakata hela hivyo .unakuta unasalio 1070 mara gafla ata ujatumia simu unauliza salio unakuta una sh 920 .sasa sijui kuuliza salio nayo wanachaji .ukija tigo unalipia blackberry wanachukua hela wakati blackberry service ya arusha aina uwezo wakufanya kazi .wote wezi sijui ni zile bilion 30 walizo aidi kuipa serekali ndio wanachukua kwa mtindo huu !!?
 
hilo swala la Tigo ni kizungu mkuti, tena umenikumbusha machungu kweli maana nimelizwa mara kibao natamani niachane nao hawa Tigo shida namba yangu niyamiaka mingi naweza kuathirika lakini ipo siku, baya zaidi hatuna mtetezi .
 
Mimi huwa naweka buku...afu najiunga na kifurushi cha sh 499...yaani baada ya masaa mawili nikicheki balance yangu ilobaki (500) nakuta yote imekatwa.....huku bado nna kifurushi ambacho hakijafika hata masaa 24....sio mara moja....tigo ni wezi
 
Wanakwambia Mini Kabaang ya Dk 12 mitandao yote kumbe ni dk 3 tu, 9 ni tigo kwenda tigo!
 
polen sana sijaexperience maumivu bado kutoka kwao ndo nimeamia hiv punde
 
Tigo ni zaidi ya wanyang'anyi, ukiweka pesa tu kwa line yako tayari huifanya ni Mali yao hata bila ridhaa yako! I'm tired of them.
 
Kwahili lawizi apana tigo na voda wanajitahidi tunatumiatu kwa vile huku tuliko intarnet ya airtel kwa sim niboom kabisa
 
Back
Top Bottom