Habari wana Jf, nadhani kuna tatizo upanda wa Tigo especially Tigo Pesa ndani ya miezi miwili haiwezikana huduma za Tigo pesa ziwe zinashida, tatizo liko wapi? Kama ni watu wa IT badilisheni au kama ni mitambo ya zamani badilisheni.
Hivi mnatambua kama kuna watu wanatumia tigo pesa kama wallet sasa yanapojitokeza haya mnatoa msaada gani zaidi ya majibu yenu marahisi ya kuwa samahani kuna tatizo la kiufundi huduma itarudi ndani ya masaa 24. Whats a fukn joke, yani nisubiri masaa 24 as if shida zangu zitasubiri mpaka hayo masaa 24?
Mnatukosea sana wateja kama mmeshindwa kuja na backup plan ya kutatua hili tatizo basi mje na emergency plan ya kusolve wateja wenu wapate hela yakijitokeza haya.
Kuna njia kadhaa za kufanya wateja wenu kusolve tatizo la kifedha nitakuwa tayari kuwasaidia kama consultant.
"MAN OF NO FEAR, 8 YEARS IN THE BUSH WITH NO SICK REPORT"
Hivi mnatambua kama kuna watu wanatumia tigo pesa kama wallet sasa yanapojitokeza haya mnatoa msaada gani zaidi ya majibu yenu marahisi ya kuwa samahani kuna tatizo la kiufundi huduma itarudi ndani ya masaa 24. Whats a fukn joke, yani nisubiri masaa 24 as if shida zangu zitasubiri mpaka hayo masaa 24?
Mnatukosea sana wateja kama mmeshindwa kuja na backup plan ya kutatua hili tatizo basi mje na emergency plan ya kusolve wateja wenu wapate hela yakijitokeza haya.
Kuna njia kadhaa za kufanya wateja wenu kusolve tatizo la kifedha nitakuwa tayari kuwasaidia kama consultant.
"MAN OF NO FEAR, 8 YEARS IN THE BUSH WITH NO SICK REPORT"