Love bug JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 219 Reaction score 216 Mar 31, 2021 #141 Greg50 said: Airtel gb12 ziliisha kwa siku moja nikahama siku iyoiyo Click to expand... duh pole mkuu
Greg50 said: Airtel gb12 ziliisha kwa siku moja nikahama siku iyoiyo Click to expand... duh pole mkuu
kisanzala JF-Expert Member Joined Aug 3, 2014 Posts 488 Reaction score 303 Mar 31, 2021 #142 Joseph Ludovick said: Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu. Mungu awalinde Click to expand... Yani ckumbuki line yangu Tigo ipo wap na cna mpango tena wa ku2mia Tgo kwa ubwege wao wanaotufanyia..Voda na Halotel ni tosha kabisa...
Joseph Ludovick said: Kampuni ya Tigo nawaaga. Moja kwa moja. Sitatumia tena huduma zenu. Endeleeni na ukamuaji mnaofanya. Sina hata haja ya kuorodhesha kero zenu. Mungu awalinde Click to expand... Yani ckumbuki line yangu Tigo ipo wap na cna mpango tena wa ku2mia Tgo kwa ubwege wao wanaotufanyia..Voda na Halotel ni tosha kabisa...