Mlimani Tv kimekuwa chombo cha habari tanzania kinachotoa mda mkubwa wa hewani kutangaza matatizo yanayo wakumba wananchi wa Tanzania.
Makampuni ya simu yamekuwa ni moja ya kampuni zinazo kanyaga haki za raia kwa kuahidi wasivyo tekeleza. kumekuwa na hali ya kukatwa hela kusiko na mpango kwa haya makampuni ya simu.
Katika mwendelezo wa habari saa moja na nusu usiku, mlimani tv watakuwa wakizungumzia na kujadili Huduma za tigo kwa ujumla. Vituo vingine viige hiyo.
Ni hayo tu. Mia