Mkuu unafikiri kampuni kubwa kama Tigo mpaka wanaamua kufanya upgrades kwenye mifumo hawakuwa na business continuity plan!hii mambo inazikumba mpaka kampuni kama facebook,Yahoo n.k. itakuwa Tigo?Ukumbuke saa moja tu kwao system ikiwa down wanapoteza mamilioni ya hela,kwahiyo hawawezi kuwa wazembe hivyo unavyowaza...