jamani nina tigo ideos unlocked n still in gud condition.
hazitolewi bure bro. if so kwanini niuze coz kila mtu angeenda kujichukulia yake MIC. bro wa mia panda kidogo
Wakuu, naomba anayeweza ku unlock IDEOS ya tigo atupe maujanja mana ninayo ila sijajua maujanja hayo...!!!!
jamani nina tigo ideos unlocked n still in gud condition. Iko na earphones zake, charger na extra cover ya blue. Bei 150 mwenyewe kuhitaji tuwasiliane.
Nilinunua Huawei U8150 IDEOS na simply by using DC-unlocka mambo shwari nabang kotekote!!
>>so kama model yako ni sawa na yangu Get On it n follow me
Wewe acha usenge humu ndani sio sehemu ya kutangazia biashara ni sehemu ya kutoa hoja na fikra zilizopevuka ili tuweze kulikomboa taifa letu. Ukitaka kutangaza biashara yako nenda facebook. Common usije ukarudia tena maana ntakuporomoshea mvua ya matusi. Koma kabisaaa!
ulikoamkia leo duh!Wewe acha usenge humu ndani sio sehemu ya kutangazia biashara ni sehemu ya kutoa hoja na fikra zilizopevuka ili tuweze kulikomboa taifa letu. Ukitaka kutangaza biashara yako nenda facebook. Common usije ukarudia tena maana ntakuporomoshea mvua ya matusi. Koma kabisaaa!
Oya We Mwanangu Hujui Soma Nin.. Getbak uone Uko rum Gan .. This Is a rum 4 Matangazo .. Usiwe lugaluga wa Kutukana bila ya Kujua Unafanyaje..
Oya We Mwanangu Hujui Soma Nin.. Getbak uone Uko rum Gan .. This Is a rum 4 Matangazo .. Usiwe lugaluga wa Kutukana bila ya Kujua Unafanyaje..
Huyo masopakyindi1 hana akili ajui yupo Room Gani anafikiri matusi yanaua kama ndo ivyo jf watampa Award watu wengine wana mtindio wa ubongo.