Silver Rock
Member
- Mar 4, 2012
- 20
- 3
Tido muhando kuwa mkurugenzi mtendaji wa Mwananchi hapo ni kuikosoa serikali kuwa haikuwa sawa wakati inamfukuza TBC kisa yeye ni muwazi.....sasa hivi TBC vipindi upendeleo kibao hakuna ukweli kama alipokuwepo Tido Muhando.....ngoja waone mwananchi itakavo kuwa nzuri now, hakuna kuficha kitu,kila kitu kukiweza wazi tu...ukweli ukweli