Hahahahaha naona itakuwa Lowasa kabanwa pole sana Leo Tido juzi ilikuwa Mahela na mwezi uliopita ilikuwa Salim ki keke! Kwanini mnapenda kulia lia?Namsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
Hata Sam Mahela alivyo mbana Msigwa walilalamika Teh teh watoto wa kambo.Hawa tatizo hawapendi kukosolewa unakumbuka ata Salim kikeke alivomhoji jamaa akabwabwaja walisema et n CCM au katumwa?
Hivi Bawacha mtaacha lini kulialia?Exit yake TBC ilikuwa ya maumivu na fedheha sana, kwa hali ya sasa hivi anahisi wanamfuatilia; Anajaribu kucheza salama kulinda maslahi ya mwajiri wake asije ku_antagonize tajiri yake na serikali ya hapa kazi tu!
Matokeo ya Lubuva sio Watanzania..periodSio hayo tu. Hata "opinion polls" za mwaka 2015 zilipoonyesha kuwa Lowassa atashindwa na Magufulu walipinga wakasema zile polls ziliendeshwa ili kuonyesha kuwa Magufuli atashinda. Bahati mbaya kwao matokeo ya uchaguzi halisi yakatoka na kuthibitisha usahihi wa opinion polls.
Kwani JPM yuko kwenye studio za Azam?Mweleze na JPM akubali kukosolewa, kumbe hujui unachokiongea, unapelekwa na mapenzi ambayo ni un-philosophical!
Opinions pools anazoandaa J.Makamba na kuwapa Twaweza?Makamba jiandae kukatwa maana una element za kupendwa na wanachamaSio hayo tu. Hata "opinion polls" za mwaka 2015 zilipoonyesha kuwa Lowassa atashindwa na Magufulu walipinga wakasema zile polls ziliendeshwa ili kuonyesha kuwa Magufuli atashinda. Bahati mbaya kwao matokeo ya uchaguzi halisi yakatoka na kuthibitisha usahihi wa opinion polls.
Mkuu, kama anafanya vizuri na ni kweli anafanya vizuri basi acha asifiwe tu, watanzania wote tunamsifia, naona una wivu kuona anasifiwa!Najua kilichomtoa, sasa anajaribu kutubu kwa kumhoji mbaya wa CCM kuonyesha maswali ya kujikomba. Usiseme kuwa Magufuli anafanya vizuri, umeshahukumu tayari, umempa sifa tayari magufuli. muulize unaonaje utendaji wa Magufuli? This is the right question!
Mkuu, povu la nini?? Naona unatapuka damu humu kisa Tido.Kuku ni mama yako, na baba yako,
Ha ha ha.Mkuu, povu la nini?? Naona unatapuka damu humu kisa Tido.
Naona imekuuma Mzee Lowasa kukili wazi Rais Magufuli anafanya kazi zake vizuri.Namsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
Tido sasa uzee nao unamzidi ujue kuwa uzee nao ni factor kwenye akili ya mtuNamsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!
Mchakato majimboniTido huwa harembi,
Na hapendelei ccm, anakutandika na issue jinsi zilivyo.
Fuatilia ujue kilichomtoa TBC
Kwani hapo kosa la mleta mada lipo wapi?Hawa tatizo hawapendi kukosolewa unakumbuka ata Salim kikeke alivomhoji jamaa akabwabwaja walisema et n CCM au katumwa?
Watangazaji/wana habari wetu wa bongo bado ni waoga sana na safari yao bado ni ngumu sanaNajua kilichomtoa, sasa anajaribu kutubu kwa kumhoji mbaya wa CCM kuonyesha maswali ya kujikomba. Usiseme kuwa Magufuli anafanya vizuri, umeshahukumu tayari, umempa sifa tayari magufuli. muulize unaonaje utendaji wa Magufuli? This is the right question!
Mbona hatukushangai wewe kujipendekeza kwa watawala?Tatizo nikuwa mnataka afanye mtakavyo ninyi
Mmejengeka vibaya sana
Mtu akiisema vibaya serikali kwenu mnamuona anafaa,
Lakini akimsema mnaemtaka mnaona hafai.
Hamjampa kazi nyie hivyo muache afanye vile anavyo on a ni sawa
Na miaka ndiyo hiyo inamtupa mkonoExit yake TBC ilikuwa ya maumivu na fedheha sana, kwa hali ya sasa hivi anahisi wanamfuatilia; Anajaribu kucheza salama kulinda maslahi ya mwajiri wake asije ku_antagonize tajiri yake na serikali ya hapa kazi tu!
Namsikiliza Tido Mhando, kama vile ni Kada wa CCM! Amenitia mshaka makubwa! Maswali yake kama ya yule kijna wa Dakika 45- Sam Mahela. Simhukumu, nasema kama vile ni kada wa CCM.
Tido anazeeka, kuhoji kwa high mental power involvement kunaelekea kupungua!
He needs to be neutral not showing a vivid inclination!