Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,886
- 3,576
sasa wewe no kilaza wa mwisho. nani kakuambia NACP nayo ni taaisisi?? hiyo ni programu kama ilivyo Malaria Control Programme. TACAIDS ndo taaisisi inayohusika na masuala ya Ukimwi.Nchi hii ya ajabu mno taasisi kibao ufanisi kibao!! ulishaahi kujiuliza tofauti ya TACAIDS (Tanzania Commission for AIDS na NACP (National AIDS Control Programme)?. Kaz zile zile ila taasis 2. yote nn ukiuliza? ULAJI.