Tibaijuka - Hii ni Neema Iliyojificha

Tibaijuka - Hii ni Neema Iliyojificha

Captain-Chui

Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
80
Reaction score
49
Historia haikosei. Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sakata jingine liliitwa Richmond. Bunge likaunda kamati, ikaandikwa ripoti, tuhuma kali zikajitokeza, mheshimiwa Lowasa akaombwa atupishe tuteuwe mwingine. Sasa hivi watu walio wengi Tanzania wanamuomba Mungu usiku na mchana ili Lowasa awe raisi 2015. [hii ni kutokana na un-official kura ya maoni].

Mwaka huu 2014 sakata la Escrow limefumuka, wabunge wamecharuka ikaandikwa ripoti, pesa wamegawana wengine wamebeba kwenye mifuko ya rambo na magunia lakini mama Tibaijuka yeye kwa kujiamini akaziweka kwenye account yake binafsi. Kwa vile account ni ushahidi basi wamemchangamkia mama prof akaombwa atupishe tuteuwe mwingine.

Mwaka kesho 2015, tujiandae ..... Mheshimiwa Lowasa atakuwa Raisi, na Mheshimiwa Tibaijuka atakuwa Waziri mkuu. Sasa, ninyi mlioandika hizo ripoti na kushabikia mtakiona cha mtema kuni.
 
Historia haikosei. Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sakata jingine liliitwa Richmond. Bunge likaunda kamati, ikaandikwa ripoti, tuhuma kali zikajitokeza, mheshimiwa Lowasa akaombwa atupishe tuteuwe mwingine. Sasa hivi watu walio wengi Tanzania wanamuomba Mungu usiku na mchana ili Lowasa awe raisi 2015. [hii ni kutokana na un-official kura ya maoni].

Mwaka huu 2014 sakata la Escrow limefumuka, wabunge wamecharuka ikaandikwa ripoti, pesa wamegawana wengine wamebeba kwenye mifuko ya rambo na magunia lakini mama Tibaijuka yeye kwa kujiamini akaziweka kwenye account yake binafsi. Kwa vile account ni ushahidi basi wamemchangamkia mama prof akaombwa atupishe tuteuwe mwingine.

Mwaka kesho 2015, tujiandae ..... Mheshimiwa Lowasa atakuwa Raisi, na Mheshimiwa Tibaijuka atakuwa Waziri mkuu. Sasa, ninyi mlioandika hizo ripoti na kushabikia mtakiona cha mtema kuni.

Mnafikiri Tanzania ya leo ndiyo ile ya miaka ya 70? Pitia kumbukumbu za uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utajifunza kitu, lakini PIA wewe hujaenda vijijini muda mrefu uone jinsi wananchi wanavyochukizwa na ufisadi. Kwa taarifa yako nchi hii haiwezi kuongozwa na Anna Kajumlo Tibaijuka. Hafai hata kuwa Kiongozi wa Serikali ya Mtaa. Ni fisadi la kimataifa, ALIIBA UN-HABITAT AKAFUKUZWA, ameiba Wizara na sasa unataka akatuibie akiwa WAZIRI Mkuu, wewe utakuwa Yule mtoto wake unayetukana Watanzania na tunakungoja UJE Mtaani kwetu tukushughulikie, mpuuzi MKUBWA.
 
UYU MAMA KACHAFUKA SANA. MATOKEO YAKE ANAWATUMA ATI MUMSAIDIE KUMSAFISHA. FISADI NI FISADI TU. ATA Dr BALALI MLIMSIFIA IVI IVI KUMBE JIZI KUU. MI CCM MNAANGAIKA SANA KUZUIA MAFURIKO KWA MKONO. NA.BADO JIMBO ILO UKAWA TUNALITAKA 2015 NA MTAONA
 
Hivi mtoa uzi kakanusha tuhuma dhidi ya huyu mama au anakubali ila anatuambia pamoja na hayo atarudi kwa sababu Watz tu vilaza? Naamini anatuona vilaza.
Mdomo ni miongoni mwa vitu vilivyomponza huyu mama.
 
Mnafikiri Tanzania ya leo ndiyo ile ya miaka ya 70? Pitia kumbukumbu za uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utajifunza kitu, lakini PIA wewe hujaenda vijijini muda mrefu uone jinsi wananchi wanavyochukizwa na ufisadi. Kwa taarifa yako nchi hii haiwezi kuongozwa na Anna Kajumlo Tibaijuka. Hafai hata kuwa Kiongozi wa Serikali ya Mtaa. Ni fisadi la kimataifa, ALIIBA UN-HABITAT AKAFUKUZWA, ameiba Wizara na sasa unataka akatuibie akiwa WAZIRI Mkuu, wewe utakuwa Yule mtoto wake unayetukana Watanzania na tunakungoja UJE Mtaani kwetu tukushughulikie, mpuuzi MKUBWA.
Mkuu Mapolu, kwanza ukweli lazima usemwe, JK amekiri fedha sio za umma, kanuni ya maadili ya umma in ayotaka mtumishi wa umma sio tuu aripoti zawadi yoyote ya fedha zaidi ya 50,000 anayopokea, bali anapaswa kuikabidhi ili ipangiwe matumizi!, hizo fedha Tibaijuka hakupewa zawadi yeye kama yeye bali ni za shule, hivyo alipolipwa na yeye akalipia madeni ya shule!, kosa lake hapa ni lipi?!. Tibaijuka sio mwizi!.

Ila pia sisi Watanzania ni ma ignorants tuu, kwenye escrow, rais akwepe issues, alete blah blah, kisha afanye maamuzi ya kujinga, halafu mijitu mnashangilia ujinga?!, 2015 hatutaki tena ujinga na upuuzi upuuzi kama huu!, Watanzia wanamjua kiongozi asie entertain ujinga!, na Tibaijuka anafaa kuwa Waziri Mkuu wake, kubali kataa!.

Merry Christmas

Pasco.
 
Mkuu Mapolu, kwanza ukweli lazima usemwe, JK amekiri fedha sio za umma, kanuni ya maadili ya umma in ayotaka mtumishi wa umma sio tuu aripoti zawadi yoyote ya fedha zaidi ya 50,000 anayopokea, bali anapaswa kuikabidhi ili ipangiwe matumizi!, hizo fedha Tibaijuka hakupewa zawadi yeye kama yeye bali ni za shule, hivyo alipolipwa na yeye akalipia madeni ya shule!, kosa lake hapa ni lipi?!. Tibaijuka sio mwizi!.

Ila pia sisi Watanzania ni ma ignorants tuu, kwenye escrow, rais akwepe issues, alete blah blah, kisha afanye maamuzi ya kujinga, halafu mijitu mnashangilia ujinga?!, 2015 hatutaki tena ujinga na upuuzi upuuzi kama huu!, Watanzia wanamjua kiongozi asie entertain ujinga!, na Tibaijuka anafaa kuwa Waziri Mkuu wake, kubali kataa!.

Merry Christmas

Pasco.
Sijui ni kwanini Tanzania ilikuepo, ingekua vyema tanzania isingekuepo kabisa katika uso wa dunia!
 
mnafikiri tanzania ya leo ndiyo ile ya miaka ya 70? Pitia kumbukumbu za uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu utajifunza kitu, lakini pia wewe hujaenda vijijini muda mrefu uone jinsi wananchi wanavyochukizwa na ufisadi. Kwa taarifa yako nchi hii haiwezi kuongozwa na anna kajumlo tibaijuka. Hafai hata kuwa kiongozi wa serikali ya mtaa. Ni fisadi la kimataifa, aliiba un-habitat akafukuzwa, ameiba wizara na sasa unataka akatuibie akiwa waziri mkuu, wewe utakuwa yule mtoto wake unayetukana watanzania na tunakungoja uje mtaani kwetu tukushughulikie, mpuuzi mkubwa.

tuletee ushaidi wa kuiba un habitat tumwajibishe,acha kupayuka boya wee,janaume suruari kutwa kuchamba watu kama huna kazi,lete ushahidi kama alifukuzwa mbona alilitumikia shirika kwa miaka kumi mfululizo boya wewe,ita kula kwako ngoja tu na lazima awe waziri mkuu utake usitake
 
Duu Pasco unataka kusema lowassa atakuwa rais na tibaijuka w/mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mapolu, kwanza ukweli lazima usemwe, JK amekiri fedha sio za umma, kanuni ya maadili ya umma in ayotaka mtumishi wa umma sio tuu aripoti zawadi yoyote ya fedha zaidi ya 50,000 anayopokea, bali anapaswa kuikabidhi ili ipangiwe matumizi!, hizo fedha Tibaijuka hakupewa zawadi yeye kama yeye bali ni za shule, hivyo alipolipwa na yeye akalipia madeni ya shule!, kosa lake hapa ni lipi?!. Tibaijuka sio mwizi!.

Ila pia sisi Watanzania ni ma ignorants tuu, kwenye escrow, rais akwepe issues, alete blah blah, kisha afanye maamuzi ya kujinga, halafu mijitu mnashangilia ujinga?!, 2015 hatutaki tena ujinga na upuuzi upuuzi kama huu!, Watanzia wanamjua kiongozi asie entertain ujinga!, na Tibaijuka anafaa kuwa Waziri Mkuu wake, kubali kataa!.

Merry Christmas

Pasco.
Usiseme sisi watanzania ni ma ingnorants, sema mimi ni ignorant. unawezaje kujumuisha watanzania wote wakati wewe ndo ignorant aisee.

Ukishaona umemuelewa JK kwa blah blah alizozitoa siku ile kuwa pesa si za Umma kwa maelezo yale basi count yourself ignorant/illiterate.
 
Historia haikosei. Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sakata jingine liliitwa Richmond. Bunge likaunda kamati, ikaandikwa ripoti, tuhuma kali zikajitokeza, mheshimiwa Lowasa akaombwa atupishe tuteuwe mwingine. Sasa hivi watu walio wengi Tanzania wanamuomba Mungu usiku na mchana ili Lowasa awe raisi 2015. [hii ni kutokana na un-official kura ya maoni].

Mwaka huu 2014 sakata la Escrow limefumuka, wabunge wamecharuka ikaandikwa ripoti, pesa wamegawana wengine wamebeba kwenye mifuko ya rambo na magunia lakini mama Tibaijuka yeye kwa kujiamini akaziweka kwenye account yake binafsi. Kwa vile account ni ushahidi basi wamemchangamkia mama prof akaombwa atupishe tuteuwe mwingine.

Mwaka kesho 2015, tujiandae ..... Mheshimiwa Lowasa atakuwa Raisi, na Mheshimiwa Tibaijuka atakuwa Waziri mkuu. Sasa, ninyi mlioandika hizo ripoti na kushabikia mtakiona cha mtema kuni.

Subirini nchi ya mafisadi itakapoanzishwa ndipo mpeane madaraka Kama mafisadi walivyogawana fedha za ESCROW wengine kwenye mifuko ya Rambo wengine kwenye mifuko ya sandarusi.

Lowassa atakuwa Rais wa nchi ya mafisadi wazri wake mkuu atakuwa Tibaijiku mawaziri wengine watakuwa ni wale waliofurahi pamoja na Lowassa kwenye ufisadi na walio huzunika pamoja baada ya kutimuliwa Kama vibaka wa stend na kamwe hawataruhusiwa kuitawala Tanzania ya waadilifu.
 
Historia haikosei. Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sakata jingine liliitwa Richmond. Bunge likaunda kamati, ikaandikwa ripoti, tuhuma kali zikajitokeza, mheshimiwa Lowasa akaombwa atupishe tuteuwe mwingine. Sasa hivi watu walio wengi Tanzania wanamuomba Mungu usiku na mchana ili Lowasa awe raisi 2015. [hii ni kutokana na un-official kura ya maoni].

Mwaka huu 2014 sakata la Escrow limefumuka, wabunge wamecharuka ikaandikwa ripoti, pesa wamegawana wengine wamebeba kwenye mifuko ya rambo na magunia lakini mama Tibaijuka yeye kwa kujiamini akaziweka kwenye account yake binafsi. Kwa vile account ni ushahidi basi wamemchangamkia mama prof akaombwa atupishe tuteuwe mwingine.

Mwaka kesho 2015, tujiandae ..... Mheshimiwa Lowasa atakuwa Raisi, na Mheshimiwa Tibaijuka atakuwa Waziri mkuu. Sasa, ninyi mlioandika hizo ripoti na kushabikia mtakiona cha mtema kuni.

Stand up comedy per se!!
 
Usiseme sisi watanzania ni ma ingnorants, sema mimi ni ignorant. unawezaje kujumuisha watanzania wote wakati wewe ndo ignorant aisee.

Ukishaona umemuelewa JK kwa blah blah alizozitoa siku ile kuwa pesa si za Umma kwa maelezo yale basi count yourself ignorant/illiterate.
Ignorance hii ni collective, kwenye nchi yenye ma ignorants wengi, hata wale wachache wasio ma ignorants, nao ni maignorants tuu kwenye general sampling!.

Kama tulivyo piga kura kumchagua rais ile 2010, kuna watu hawakumchagua JK, ila JK ndiye aliyetangazwa msindi, akiisha tangazwa, huyo ndiye rais wetu wa waliomchangua na wasio mchangua, atahesabiwa aliyechaguliwa ni JK, na waliomchagua na Wanzania kwa ujumla wao, hata kama amechaguliwa kwa kura milioni 5 tuu kwenye nchi yetu watu milioni 45!.

Kuna ma ig... fulani wakaibuka kuwa eti hawamtambui!, huwezi kujifanya hutambui facts!. Kwa JK kuwa rais, uwe ulimchagua, hukumchagua, unamtambua, humtambui, does not change the fact kuwa yeye ndie rais!.

Vivyo hivyo hili la ignorance, we are ignorants from top to bottom!, japo kuna some few exceptions to the general rule, we are all ignorants!.

Pole!.

Merry X-Mass

Pasco
 
Mkuu Mapolu, kwanza ukweli lazima usemwe, JK amekiri fedha sio za umma, kanuni ya maadili ya umma in ayotaka mtumishi wa umma sio tuu aripoti zawadi yoyote ya fedha zaidi ya 50,000 anayopokea, bali anapaswa kuikabidhi ili ipangiwe matumizi!, hizo fedha Tibaijuka hakupewa zawadi yeye kama yeye bali ni za shule, hivyo alipolipwa na yeye akalipia madeni ya shule!, kosa lake hapa ni lipi?!. Tibaijuka sio mwizi!.

Ila pia sisi Watanzania ni ma ignorants tuu, kwenye escrow, rais akwepe issues, alete blah blah, kisha afanye maamuzi ya kujinga, halafu mijitu mnashangilia ujinga?!, 2015 hatutaki tena ujinga na upuuzi upuuzi kama huu!, Watanzia wanamjua kiongozi asie entertain ujinga!, na Tibaijuka anafaa kuwa Waziri Mkuu wake, kubali kataa!.

Merry Christmas

Pasco.

Pasco;
Wamekuambia kuwa utapatiwa kitu au ni nini? Unakuwa kama wale watu wa Lindi, waliopewa kamugawo ka Muwongo yule. Ati wakaenda kuandamana na suti na vitenge vya wax?? Ajabu ni kuwa ni mtu na mkewe tu waliojisopu, wale waliopewa tusenti tule, wakaja na malapa mpaka kwa mkuu wa mkoa kuomba Muwongo akae akijilambia tusenti twa mwisho mpaka mwakani.
Ama kweli la kuvunda. Pasco, hakuna m ccm wa kuongoza kwa kiwango tena. Wooote, "Mankanyanga". Tupa kuleeee. Leteni tena upinzani tuongozwe kwa woga angalao miaka 5. CCM wamejisahau na kujiona kuwa wana hati miliki ya kujigawia mihela 1.6 billion ati ni kamusaada kutoka kwa kakangu nilikokapokea in goodi feithi bwanaaa.
mihela yote hiyo uipokee in good faith. Pole zake
 
Ignorance hii ni collective, kwenye nchi yenye ma ignorants wengi, hata wale wachache wasio ma ignorants, nao ni maignorants tuu kwenye general sampling!.

Kama tulivyo piga kura kumchagua rais ile 2010, kuna watu hawakumchagua JK, ila JK ndiye aliyetangazwa msindi, akiisha tangazwa, huyo ndiye rais wetu wa waliomchangua na wasio mchangua, atahesabiwa aliyechaguliwa ni JK, na waliomchagua na Wanzania kwa ujumla wao, hata kama amechaguliwa kwa kura milioni 5 tuu kwenye nchi yetu watu milioni 45!.

Kuna ma ig... fulani wakaibuka kuwa eti hawamtambui!, huwezi kujifanya hutambui facts!. Kwa JK kuwa rais, uwe ulimchagua, hukumchagua, unamtambua, humtambui, does not change the fact kuwa yeye ndie rais!.

Vivyo hivyo hili la ignorance, we are ignorants from top to bottom!, japo kuna some few exceptions to the general rule, we are all ignorants!.

Pole!.

Merry X-Mass

Pasco
Nimekuelewa ila kwashida saaaana kiongozi, ila poa tu! Nawe pia.
 
Back
Top Bottom