Tibaijuka - Hii ni Neema Iliyojificha

Tibaijuka - Hii ni Neema Iliyojificha

Historia haikosei. Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sakata jingine liliitwa Richmond. Bunge likaunda kamati, ikaandikwa ripoti, tuhuma kali zikajitokeza, mheshimiwa Lowasa akaombwa atupishe tuteuwe mwingine. Sasa hivi watu walio wengi Tanzania wanamuomba Mungu usiku na mchana ili Lowasa awe raisi 2015. [hii ni kutokana na un-official kura ya maoni].

Mwaka huu 2014 sakata la Escrow limefumuka, wabunge wamecharuka ikaandikwa ripoti, pesa wamegawana wengine wamebeba kwenye mifuko ya rambo na magunia lakini mama Tibaijuka yeye kwa kujiamini akaziweka kwenye account yake binafsi. Kwa vile account ni ushahidi basi wamemchangamkia mama prof akaombwa atupishe tuteuwe mwingine.

Mwaka kesho 2015, tujiandae ..... Mheshimiwa Lowasa atakuwa Raisi, na Mheshimiwa Tibaijuka atakuwa Waziri mkuu. Sasa, ninyi mlioandika hizo ripoti na kushabikia mtakiona cha mtema kuni.

HATA KABLA SUALA LA ESCROW KUPOA UCHUNGUZI WA AWALI WA WAZEE WA KAZI UMEONESHA KUWA KISA CHA MAMA TIBAIJUKA ...KUTOLEWA SADAKA NI KITENDO CHAKE CHA KUZUIA JARIBIO LA KUMDHULUMU JAMES RUGEMARILA ASITAPELIWE .....KWANI WEZI WA ESCROW WALIPANGA KUTUMIA PESA ZA ESCROW BILA KUMLIPA RUGEMARILA AMBAYE ALIKUWA NA HAKI KISHERIA YA UMLIKI WA SHARE ASILIMIA 30 %

SING KWA KUSHIRIKIANA NA WABIA WAKE SIMBA TRUST ( australia registered ) .....Kampuni ya Mama na Watoto .....walipanga KUMDHULUMU James ...na Serikali all together ....
HASIRA ZA "MAMA " KUPUNGUZIWA MGAWO WAO BAADA YA ANNA TIBAIJUKA KUMSHTUA NA KUMSADIA JAMES ASITAPELIWE ....ZILIMFANYA MAMA KUFURA .....NA KUHAKIKISHA KUWA TIBA ANATOLEWA SADAKA ...WAKATI WALIOTAJWA WANAACHWA .....
KWENYE MKUTANO WA WAZEE KATIKA KUONESHA MSISITIZO MAMA MWENYEWE ALIHAKIKISHA ...ANAKUWEPO UKIMBINI HUKU AKIWA HANA MZAHA HATA KIDOGO ...AKIMUANGALIA MZEE AKIMFUTA KAZI TIBA KWA SHINGO UPANDE .....
NA PIA IMEBAINIKA KUWA MAMA NDIE ALIYELETA UKUMBINI WALE KINA MAMA ..MAALUM WALIOANDALIWA KUSHANGILIA KWA NGUVU NA KUKATIKA MAUNGO PALE MZEE ALIPOMTIMUA KAZI ..TIBA ...KWA WALIO UKUMBINI WALIONA NAMNA KUFUKUZWA KWA TIBA KULIVOPOKELEWA ...SEHEM KUBWA YA WALIOKUWA HAWAJUI KINCHOENDELEA HAWAKUSHANGILIA ...WENGINE WALISHANNGILIA KIDOGO TU WAKIWA NA TAFAKARI ..HUKU WALE KINAMAMA WALIOANDALIWA KULE NYUMA WAKICHAGIZA KWA KUCHANGILIA KWA NGUVU ....
 
Mkuu Mapolu, kwanza ukweli lazima usemwe, JK amekiri fedha sio za umma, kanuni ya maadili ya umma in ayotaka mtumishi wa umma sio tuu aripoti zawadi yoyote ya fedha zaidi ya 50,000 anayopokea, bali anapaswa kuikabidhi ili ipangiwe matumizi!, hizo fedha Tibaijuka hakupewa zawadi yeye kama yeye bali ni za shule, hivyo alipolipwa na yeye akalipia madeni ya shule!, kosa lake hapa ni lipi?!. Tibaijuka sio mwizi!.

Ila pia sisi Watanzania ni ma ignorants tuu, kwenye escrow, rais akwepe issues, alete blah blah, kisha afanye maamuzi ya kujinga, halafu mijitu mnashangilia ujinga?!, 2015 hatutaki tena ujinga na upuuzi upuuzi kama huu!, Watanzia wanamjua kiongozi asie entertain ujinga!, na Tibaijuka anafaa kuwa Waziri Mkuu wake, kubali kataa!.

Merry Christmas

Pasco.
Mh! Pasco, Umenichanganya kichwa. Hivi JK ni nani? Yeye ni kama nani aseme fedha za ESCRO si za UMMA. Na huyu rais aliyekwepa issues (Highlight kijani) ni nani? Huyu Jk inaonekana ndiye Raisi unayemtaja anayekwepa issues? Then, ili president asipate issues, maana presidency ni taasisi (an institute), kama rafiki zangu wakatoliki wanasema kitu kinaitwa "Indinspensability of the Pope". Indinspensability ina sifa mbili kubwa " Importancy and Necessity". Ni muhimu na lazima. Kwa hiyo anachotamka Papa kinakuwa cha muhimu na lazima kwa kuwa kimefanyiwa utafiti, kwa hiyo papa hakosei. Sasa huyo JK wako una maanisha our president? ina maana ndiyo anakwepa issues? wazee wa kuzuia rushwa wako taasis ya nani? mkaguzi mkuu wa serikali ni nani? ikiwa hawa jamaa wanaweza kukupeleka mahakamni kama walivyofanya wiki iliyopita kwa akina Mrunye wa Ngorongoro, na mahakama inasikiliza kuwa wametoa tenda isiyostahili sasa hawa jamaa walioshauri kuhusu ESCROW wako ofisi ya nani na wanamshauri nani? Pasco huyo JK unayemsema kama ndio unamaanisha, ni mwanaume, baba fulani, mume wa fulani, kabila fulani, aliamua kama president ama baba fulani? Nimechanganyikiwa, nahitaji kuandika kitabu kabisa.
Kama mkaguzi Mkuu kasema za umma kwa niaba ya Rais wa URT? najua hawa mfumo wa Govnt wana Interna Auditors and External Auditors? Navyojua ni vyombo vya ushauri wa cha Rais wa URT, sasa rafiki yako JK kasema fedha ni za IPTL kama rais ama baba fulani? Naomba jibu
 
Mtu akiandika in all caps ni ishara ya ungumbaru.
 
Back
Top Bottom