Hapana nilimjibu niliyemnukuu sababu alikimbilia kuandika ujinga tokana na kula vyakula hovyo kwa afya ya akili na kajibiwa na Jamaa kuwa aliandika usen**rema.Hapana ni punyeto bro nahisi
Zimekuwaje? Hebu fafanuaWadau,,,,kama kichwa kinavojieleza tunaomba yoyote ambae amewahi kupatwa na tatizo la nguvu za kiume na akapata tiba na akapona tunaomba atusaidie na namba ya aliemtibu ,,,, ahsanteni
Kuna uzi nitakutag ukasome hukoWadau,,,,kama kichwa kinavojieleza tunaomba yoyote ambae amewahi kupatwa na tatizo la nguvu za kiume na akapata tiba na akapona tunaomba atusaidie na namba ya aliemtibu ,,,, ahsanteni
Wenyewe wanasema "tag ubavu"Kuna uzi nitakutag ukasome huko
Anakaa kwa shemeji tena mtoto wa kiume.Nimecheka sana hadi nimepaliwa
Zote hizo ni juhudi za kula chipsi mayai ya kuku mataira![]()
Maswali ya nyongezaYani nikiwa na mwanamke tunachezeana uume unasimama ila nikitaka kufanya nao unalala Bill
Nakubalianaa na ww kiongoz, tiba.nimpenz wake tuHujaeleza tatizo hasa ni lipi kwenye hizo nguvu za kiume!
Ila hii mambo haina tiba ya direct, lakini doctor wa hii kitu ni mpenzi wako tu ndio anaeweza kukurudisha kwenye reli, cha msingi atambue tatizo lako na aaenze matibabu ya kukufariji na kukupa tunda kila siku bila kujali unamlizisha au la