Tiba ya asili ya matatizo ya ”Hormonal imbalance” kwa wanawake

Umenena kabisa, kama unafanya then ikatokea hujapata period inakuchanganya sana muda wote unajihisi tayari ni mjamzito.
Unafurahi kama hufanyi, usiombe ufanye alafu upitilize yote hiyo utamaliza UPT pharmacy. Kila kukicha unasikilizia sijui nitaanza kujisikia kichefuchefu unaona hola, unaweza anza kuhisi katoto kanacheza tumboni kwa woga huku umepitiliza miezi 2 tu.
 
- Amewahi kujifungua kwa njia ya kawaida?
- Amewahi kufanya njia yoyote ya kuzuia mimba?
- Ameshawahi kupata Miscarriage?
- Ni mtumiaji wa vilevi (pombe)?
- Ni tatizo la muda mrefu au limeanza hivi karibuni?

Hajawahi vyote hivo. Ushahidi alikuwa sealed mpaka mwezi wa sita, nina hakika 100% na za nyongeza zikitakiwa. Hayo yote asingeweza kufanya but ukoo wao wana matatizo hayo hata mdogo wake yuko zaidi hata ya huyu.
 
Mpe pole wifi yetu. Labda ningependa nijue historia ya wifi kidogo kuhusu matumizi ya njia yoyote ya uzazi wa mpango kama amewahi tumia mfano kijiti au kitanzi.

Mara nyingi njia hizi huleta kero hizo za kurudia rudia bleed. Je mmefanikiwa kupata mtoto? Na tatizo limeanza lini?

Kwanza ngoja niweke sawa. Tuna age ya between 21 - 25 but haya mambo yanasumbua muda mrefu kwa muda wa miaka mitatu hivi. Alafu sio mke wangu hata kwao sijulikani nimeamua kufanya mchakato maana naamini naweza saidia kwa namna fulani.
 
Kwanza ngoja niweke sawa. Tuna age ya between 21 - 25 but haya mambo yanasumbua muda mrefu kwa muda wa miaka mitatu hivi. Alafu sio mke wangu hata kwao sijulikani nimeamua kufanya mchakato maana naamini naweza saidia kwa namna fulani.

Hapo mkuu cha kukushauri huyo bidada akamuone Gyno. Kama ni magonjwa ya kurithi watamfanyia uchunguzi tatizo litaisha.

Narudia tena akamuone Gyno, yaani daktari wa magonjwa ya wakina mama. Asiende hospital akaonana na daktari ili mradi, wengine hawana ujuzi wa kina. Naamini atasaidiwa na kuwa normal.
 
Shughuli ipo hapo kwenye kipimo. Hivi tunaposema "kikombe cha chai" huwa ni kipi haswa? Maana too much of everything is harmful.
 
Unafurahi kama hufanyi, usiombe ufanye alafu upitilize yote hiyo utamaliza UPT pharmacy. Kila kukicha unasikilizia sijui nitaanza kujisikia kichefuchefu unaona hola, unaweza anza kuhisi katoto kanacheza tumboni kwa uoga huku umepitiliza miezi 2 tu.
Eti unaweza hisi mtoto anacheza tumboni!
 
Mimi siku za nyuma nilikuwa napitiliza sana naweza kukata hata miezi mitatu au miwili ila nilikuwa nafurahia maana hakuna wakati huwa nalaani kuzaliwa mwanamke kama wakati wa hedhi. Sasa hivi zimekaa sawa ni miezi minne sasa mzunguko uko perfect.

Pamoja na kuwa ni kitu ambacho hakifurahiwi na wanawake, ila kupitiliza sidhani inaweza ikanipa furaha. Maana naanza kuwaza "nini mbaya"?

Japo sijawahi kupitiliza hata mara moja ila sitaki hata kufikiria.
 
Hapo mkuu cha kukushauri huyo bidada akamuone Gyno. Kama ni magonjwa ya kurithi watamfanyia uchunguzi tatizo litaisha.

Narudia tena akamuone Gyno, yaani daktari wa magonjwa ya wakina mama. Asiende hospital akaonana na daktari ili mradi, wengine hawana ujuzi wa kina. Naamini atasaidiwa na kuwa normal.
Shukrani,ngoja nijipange kupata hela ya kutosha maana hizi private health services zina gharama kubwa
 
Pamoja na kuwa ni kitu ambacho hakifurahiwi na wanawake, ila kupitiliza sidhani inaweza ikanipa furaha. Maana naanza kuwaza "nini mbaya"?

Japo sijawahi kupitiliza hata mara moja ila sitaki hata kufikiria.
Mimi huwa najifariji tu kuwa in mabadiliko ya halli ya hewa 😀😀
 
Hela ndogo kulingana na tatizo. Vipi matibabu jumla yanaweza cost bei gani. Nataka nijimwambafai niende nae
kwa hilo mkuu sifahamu ungefanya kumpeleka mtajua ghalama mkifika na kila hospital inakuwa na ghalama yake.
 
Back
Top Bottom